Latest Posts
Tutelekeze wabunge, tuwawezeshe polisi
Wiki hii nimewaza na kuwazua. Kwa furaha nimepokea mrejesho kutoka kwenu wasomaji wangu. Hakika nimefurahi jinsi mlivyolikubali gazeti JAMHURI, na jinsi mawazo tunayoyatoa mnavyoyaunga mkono. Nasema asanteni sana na mkihisi tumekosea, msisite kutusahihisha.
Funga ya Ramadhani, hukumu, fadhila, adabu zake (Hitimisho)
Sheikh Dk. Ibrahim Ghulaam, katika sehemu ya tatu ya makala
haya alielezea kwa kina kuhusu yasiyofunguza na adabu za funga. Sasa fuatana naye katika sehemu hii ya mwisho…
Fadhila za funga
Zimepokewa hadithi nyingi zinazoelezea fadhila za funga ya Ramadhani, miongoni mwa hizo ni zifuatazo:
Kuna wamachinga wanaovuna mamilioni, walipe kodi stahiki
Hakuna binadamu anayependa kulipa kodi. Lakini Serikali haiwezi kujiendesha bila kodi, hivyo ni wajibu wa kila mtu mwenye sifa za kulipa kodi, kufanya hivyo.
Katiba Mpya iakisi uzalendo (Hitimisho)
Sehemu iliyopita, mwandishi alinukuu ibara ile ya kwanza ya
Mkataba wa Muungano na kusema mtu akiisoma atajua ilikuwa na viashiria vya undugu na umoja wetu wa asili kati ya watu wa nchi hizi mbili – Tanganyika na Zanzibar. Hii ni sehemu ya mwisho ya mfululizo wa makala ya Katiba Mpya iakisi uzalendo. Endelea
Maneno mazito namna hii na ya kizalendo kutoka kwa watu wa Zanzibar, leo mtu aje aseme mbona hatukushauriwa: Oh! mbona hatukuulizwa hivi. Wanaofyatuka kusema hivi walikuwa na umri gani Aprili 24, 1964? Pengine wala hawakuwa wameingia ulimwenguni. Leo waje na stori za watu wa Zanzibar eti waulizwe wanautaka Muungano au hawautaki ndipo Katiba yetu iandikwe ni sahihi kweli wazee wenzangu?
MISITU & MAZINGIRA
Misitu inavyokinufaisha Kijiji cha Nanjilinji ‘A’ (1)
Wilaya ya Kilwa mkoani Lindi ni mojawapo za wilaya chache Tanzania Bara zilizobahatika kuwa na misitu ya asili ya kutosha ikilinganishwa na maeneo mengine nchini. Pamoja na kuwa na rsilimali misitu ya kutosha yenye aina za miti ya thamani sana mfano, mipingo (Dulbergia melanoxylon), Kilwa ni kati ya wilaya maskini nchini.
KONA YA AFYA
Vidonda vya tumbo na hatari zake (7)
Kuchelewa sana kula: Kuna maelekezo mengi ya wataalamu juu ya muda mzuri wa kula. Kuchelewa sana kula huweza kuleta tatizo la kiafya ikiwa ni pamoja na vidonda vya tumbo kama mtu atakuwa tayari ana mwelekeo wa kupata vidonda. Vile vile kula wakati husikii njaa si jambo zuri kwa afya. Kula ukiwa huna njaa (au umeshiba) hudhoofisha utendaji kazi wa mifumo inayohusika na usagaji chakula.
- Kamati ya Bunge yaita wawekezaji ujenzi wa vituo vya gesi asilia iliyoshindiliwa CNG
- Dk Mwigulu aipa Wizara ya Maji wiki mbili
- Umoja wa Mataifa wataka mkataba wa amani Gaza uwe wa kudumu
- CCT yapongeza juhudi za Serikali kujenga mahusiano
- Akwilapo aongoza kikao cha kutatua changamoto za mashamba ya uwekezaji Muheza
Habari mpya
- Kamati ya Bunge yaita wawekezaji ujenzi wa vituo vya gesi asilia iliyoshindiliwa CNG
- Dk Mwigulu aipa Wizara ya Maji wiki mbili
- Umoja wa Mataifa wataka mkataba wa amani Gaza uwe wa kudumu
- CCT yapongeza juhudi za Serikali kujenga mahusiano
- Akwilapo aongoza kikao cha kutatua changamoto za mashamba ya uwekezaji Muheza
- EACOP yakabidhi karakana na vifaa vya mafunzo katika chuo cha Don Bosco Dar es Salaam
- Washiriki Wizara na Taasisi wapigwa msasa kuhusu mfumo wa NLMIS
- Mwigulu awataka wananchi Same kutunza miundombinu
- Kazi za majumbani kutambulika rasmi kama ajira yenye staa
- DC Dodoma aridhishwa na maendeeo ujenzi uwanja wa ndege Msalato ‘Ring Road’
- Wasira ateta na mama Maria Nyerere
- Tanzania ya kidigitali yaandika historia mpya sekta ya mawasiliano
- Wanafunzi waliokuwa wakishikiliwa kwa tuhuma za mauaji wameachiwa huru
- Serikali yatoa mwongozo wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani 2026
- Akwilapo asisitiza maeneo ya umma kupimwa na kulindwa kuepuka uvamizi