Latest Posts
Mashabiki wa upinzani wajitazame upya
Tanzania ya leo inafuata mfumo wa vyama vingi. Katikati ya mfumo wa vyama vingi Watanzania wamegawanyika katika makundi makuu matatu.
fikRA YA HEKIMA
Watanzania na imani potofu ziara ya Obama
Ziara ya Rais wa Marekani, Barack Obama, hapa Tanzania imenilazimu kuleta mada hii mapema tofauti na nilivyokusudia awali. Watanzania wengi wamezungumza ya moyoni mwao kuhusu ugeni huu.
Familia ya Barack Obama ni wanamichezo mahiri
Rais wa Marekani, Barack Obama, mke wake, Michelle, watoto wao, Malia na Natasha (Sasha) ni familia ya wanamichezo mahiri.
Barack Hussein Obama ni nani?
Barack Hussein Obama alizaliwa Agosti 4, 1961. Ni Rais wa 44 na Rais wa sasa wa Marekani. Ni Raia wa Marekani na Rais wa kwanza mwenye asili ya Afrika kushika wadhifa huo. Pia ni mtu wa kwanza aliyezaliwa Hawaii kushika nafasi hiyo.
FASIHI FASAHA
Haki, ukweli ni nguzo za amani – 4
Katika makala tatu zilizotangulia nimezungumzia baadhi ya viongozi wa dini, siasa na wa serikali kutupilia mbali maadili na miiko ya uongozi na kuwa chanzo cha kutaka kuvunja amani ya nchi. Pili, haki na ukweli ni nguzo za amani.
Walioficha mabilioni Uswisi wahojiwa
*Kwenye orodha wamo majenerali wa JWTZ
*Mboma, Sayore, Yona, Chenge, Mgonja ndani
*AG akiri kazi ni ngumu, aomba waongezwe muda
*Asema mwanga muhimu umeanza kuonekana
Kamati iliyoundwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda kuchunguza Watanzania walioficha fedha kwenye mabenki ughaibuni, imeshawahoji vigogo, wakiwamo mawaziri wa zamani, wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama, wanasiasa na wafanyabiashara maarufu.
- Wakulima wa pamba washauriwa kuacja kilimo cha mazoea na kulima kwa tija zaidi
- Dk Nchimbi afanya mazungumzo na Balozi wa Qatar nchini
- Waziri Mavunde aongoza kikao kutatua mgogoro mgodi wa Ililika – Nyarugusu
- TAKUKURU yakutana na wadau sekta ya afya Bunda
- Mzabuni Manyoni kizimbani kwa tuhuma za kutoa nyaraka za uongo na kughushi
Habari mpya
- Wakulima wa pamba washauriwa kuacja kilimo cha mazoea na kulima kwa tija zaidi
- Dk Nchimbi afanya mazungumzo na Balozi wa Qatar nchini
- Waziri Mavunde aongoza kikao kutatua mgogoro mgodi wa Ililika – Nyarugusu
- TAKUKURU yakutana na wadau sekta ya afya Bunda
- Mzabuni Manyoni kizimbani kwa tuhuma za kutoa nyaraka za uongo na kughushi
- DC Bunda awaasa wadau sekta ya afya kutoa ushirikiano kwa TAKUKURU
- Mbunge wa Tunisia afungwa miezi nane jela kwa kumdhihaki rais
- Mwadhamana Polycarp Kardinali Pengo 1994- 2026
- TIRDO yapongezwa, yaagizwa kujitangaza zaidi
- Saba wafikishwa mahakamani kwa tuhuma za dawa za kulevya Same
- Australia yatoa bil. 15/- kunufaisha kampuni na mashirika ya uzalishaji yanayochipukia Tanzania
- CCM yatuma salamu za rambirambi kifo cha Kardinali Polycarp Pengo
- Polisi yawashikilia wanne kwa tuhuma za mauaji ya waendesha bodaboda Tabora
- Sangu : Mawakala wa ajira binafsi zingatieni mwongozo
- DED Regina: Hakuna wanafunzi wanaosoma kwenye madarasa yaliyoezuliwa paa Kibaha