Latest Posts
Barack Hussein Obama ni nani?
Barack Hussein Obama alizaliwa Agosti 4, 1961. Ni Rais wa 44 na Rais wa sasa wa Marekani. Ni Raia wa Marekani na Rais wa kwanza mwenye asili ya Afrika kushika wadhifa huo. Pia ni mtu wa kwanza aliyezaliwa Hawaii kushika nafasi hiyo.
FASIHI FASAHA
Haki, ukweli ni nguzo za amani – 4
Katika makala tatu zilizotangulia nimezungumzia baadhi ya viongozi wa dini, siasa na wa serikali kutupilia mbali maadili na miiko ya uongozi na kuwa chanzo cha kutaka kuvunja amani ya nchi. Pili, haki na ukweli ni nguzo za amani.
Walioficha mabilioni Uswisi wahojiwa
*Kwenye orodha wamo majenerali wa JWTZ
*Mboma, Sayore, Yona, Chenge, Mgonja ndani
*AG akiri kazi ni ngumu, aomba waongezwe muda
*Asema mwanga muhimu umeanza kuonekana
Kamati iliyoundwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda kuchunguza Watanzania walioficha fedha kwenye mabenki ughaibuni, imeshawahoji vigogo, wakiwamo mawaziri wa zamani, wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama, wanasiasa na wafanyabiashara maarufu.
Yah: Bajeti ikusanyiwe maoni kama katiba
Nilikuwa nasikia kutoka kwa watu kwamba bajeti ni vilio kila kona, sikuelewa, kwa sababu bajeti si msiba ama majanga lakini nilipoipata baada ya hiyo digitali kunifikia, nimeona huo msiba ni wa aina gani.
KAULI ZA WASOMAJI
Gharama KCMC zinatisha
Serikali inajitahidi kuboresha huduma kwa wananchi wenye kipato cha chini, lakini baadhi ya hospitali haziko kwa ajili ya huduma za tiba ila ni biashara tu! Ni Watanzania wangapi wanaweza kumudu gharama za sasa za KCMC kama sio kufa kwa wagonjwa?
Mtanzania mzalendo, Moshi
UWASATA wasaka nguvu kusaidia yatima
Umoja wa Watuma Salamu Tanzania (UWASATA) unahitaji nguvu ya wahisani uweze kuongeza misaada kwa watoto yatima na wanaoishi katika mazingira hatarishi nchini.
Habari mpya
- TAKUKURU yakutana na wadau sekta ya afya Bunda
- Mzabuni Manyoni kizimbani kwa tuhuma za kutoa nyaraka za uongo na kughushi
- DC Bunda awaasa wadau sekta ya afya kutoa ushirikiano kwa TAKUKURU
- Mbunge wa Tunisia afungwa miezi nane jela kwa kumdhihaki rais
- Mwadhamana Polycarp Kardinali Pengo 1994- 2026
- TIRDO yapongezwa, yaagizwa kujitangaza zaidi
- Saba wafikishwa mahakamani kwa tuhuma za dawa za kulevya Same
- Australia yatoa bil. 15/- kunufaisha kampuni na mashirika ya uzalishaji yanayochipukia Tanzania
- CCM yatuma salamu za rambirambi kifo cha Kardinali Polycarp Pengo
- Polisi yawashikilia wanne kwa tuhuma za mauaji ya waendesha bodaboda Tabora
- Sangu : Mawakala wa ajira binafsi zingatieni mwongozo
- DED Regina: Hakuna wanafunzi wanaosoma kwenye madarasa yaliyoezuliwa paa Kibaha
- Prof. Shemdoe aelekeza kusimamishwa kazi watumishi 14 wanaotuhumiwa kwa ubadhirifu wa fedha Muheza
- Dk Mwigulu aitaka Wizara ya Fedha kuwezesha miradi ya barabara zilizosainiwa
- Dk Mwigulu : Msipore ardhi za wananchi kwa kigezo cha uwekezaji