Latest Posts
Yah: Kizazi hiki baada ya miongo mitano
Nadhani kuna wakati kufikiria ndoto za Alinacha kwa maana za mchana kweupe, ni sawasawa na uendawazimu, lakini ndoto hizo hizo kuwaza kwa nia njema kunasaidia kuchukua hadhari kwa siku zijazo.
Leo nimeamka na ndoto ambayo kwa kila atakayeguswa na wazo langu, ajaribu kufanya kama anaota ili aone jinsi ndoto yangu inavyoweza kuwa na ukweli ndani yake na avute taswira halisi ya wakati huo na athari ambayo inaweza kuwa imejitokeza.
Bandari yaishitaki JAMHURI, Mhariri
*Kipande adai fidia Sh bilioni 5.85, aomba lizuiwe kuiandika Bandari
*Mahakama yasitisha kumfukuza Mkurugenzi, Njowoka kushitakiwa
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Mzee Madeni Kipande (58) na mtu aliyejiita Katibu wa Shirika la TPA, Christian Chiduga, kwa pamoja wamelifungulia kesi Gazeti Jamhuri mahakamani na Mhariri Mtendaji, Deodatus Balile, wakidai fidia ya Sh bilioni 5.85.
Pia wawili hao walifungua kesi nyingine Mahakama Kuu chini ya Hati ya Dharura mbele ya Jaji Sheikh iliyotarajiwa kuitishwa Jumatatu jana, wakiomba Mahakama itoe amri ya zuio kwa JAMHURI isiendelee kuandika habari zinazohusu Bandari.
Mengi: Fundisheni watoto kumcha Mungu
Kuwafundisha watoto kumcha Mungu ni dhana nzuri inayowajenga katika maadili ya kuwawezesha kufanikiwa maishani, amesema Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni za IPP, Dk. Reginald Mengi.
Amefafanua kwamba kumcha Mungu kunamfanya mtoto kuwa mwema, mkweli na mwaminifu, tabia ambazo ni nyenzo muhimu katika kufikia mafanikio ya kiuchumi na kijamii.
“Ni jambo la msingi kwa mzazi kumwandaa mtoto aweze kufanikiwa maishani. Kumfundisha mtoto amweke mbele Mwenyezi Mungu kutamfanya awe mnyenyekevu, mkweli na mwaminifu ili hata akikopa arudishe, maana hakuna anayetaka kufanya biashara na mtu mwongo na anayejivuna,” amesisitiza.
Lembeli: Mbunge mahiri au muuza nchi?
Vyombo kadhaa vya habari vimeandika taarifa za Mjumbe wa Bodi ya African Parks Network (APN), James Lembeli, kuwashitaki wanahabari na wahariri wa vyombo kadhaa vya habari.
Kwenye orodha hiyo, jina la Manyerere Jackton limo. Pamoja nami, kuna makomredi wengine walioamua kwa haki kabisa kusimama kidete kulinda rasilimali za nchi yetu. Wito wangu kwa wote — tusikate tamaa.
Hadi naandika makala haya, sijapokea barua yoyote kutoka, ama kwa Lembeli au katika Mahakama ikinieleza bayana suala hilo. Kwa sababu hiyo, bado taarifa hizi nazichukulia kama taarifa nyingine zisizo rasmi, ingawa lisemwalo lipo, na kama halipo, laja.
Sakata la Tamisemi lachukua sura mpya
Sakata la Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Jumanne Sagini, kudaiwa kutoa zabuni ya uchapaji wa nyaraka za Serikali kwa Kampuni ya Yuko’s Enterprises Ltd ya mkoani Pwani bila kufuata taratibu limechukua…
JWTZ ngangari
- Mikopo ya Bilioni 2.6/- yatolewa na Halmashauri ya Jiji la Arusha
- CCM Kibaha Mjini yashirikiana na RITA kusogeza huduma kwa wananchi
- Serikali yaboresha ufanisi wa uingizaji bidhaa za afya kwa kuunganisha mifumo
- Hemed : Katangulizeni maslahi ya Tanzania
- Samamba atoa wito GST kuboresha mazingirea ya kazi, kuimarisha ushirikiano
Habari mpya
- Mikopo ya Bilioni 2.6/- yatolewa na Halmashauri ya Jiji la Arusha
- CCM Kibaha Mjini yashirikiana na RITA kusogeza huduma kwa wananchi
- Serikali yaboresha ufanisi wa uingizaji bidhaa za afya kwa kuunganisha mifumo
- Hemed : Katangulizeni maslahi ya Tanzania
- Samamba atoa wito GST kuboresha mazingirea ya kazi, kuimarisha ushirikiano
- Rais Dk Mwinyi : Zanzibar kuimarisha ushirikiano na WHO katika kuboresha sekta ya afya
- Taasisi za umma zatakiwa kufanya mapitio ya sera, sheria na kanuni zinazokinzana ili kuboresha mnyororo wa ugavi
- Tanzania yaeleza mafanikio na fursa za uwekezaji sekta ya makazi katika kongamano la miji Afrika
- Rais wa zamani wa Malawi Chakwera akutana na Waziri Kombo
- Zaidi ya ajira 50,000 zimezalishwa kutokana na miradi mikubwa ya Serikali
- Wafanyabiashara waipa tano Serikali kutoa ruzuku ya pembejeo kwa wakulima Ruvuma
- Ngorongoro ni nyumbani kwa kila binadamu – Kamishna Badru
- Waziri Mkuu: Tutaboresha bajeti ya elimu
- Hakuna zuio la kuanza utekelezaji wa mradi wa LNG – Dk Mwigulu
- Sheikh awasihi Watanzania kudumisha amani