JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

RPC ‘atumika’ kuchangisha rushwa

* Watendaji wadaiwa kutumia jina lake kula rushwa kwa walima bangi

* RPC Tarime/Rorya awaruka, DC asema dawa yao inachemka

Maofisa watendaji wa Kijiji cha Kwisarara na Kata ya Bumera wanatuhumiwa kutumia jina la Kamanda wa Polisi wa Mkoa (RPC) wa Kipolisi Tarime/Rorya kuchukua rushwa ya fedha kutoka kwa wakulima wa zao haramu la bangi.

Rage ni tatizo Simba-Kalimauganga

Mwenyekiti wa Friends of Simba, Mkoa wa Tabora, Sadiki Kalimauganga, amesema kuwa kufanya vibaya kwa Wekundu wa Msimbazi Simba Sports Club ya Dar es Salaam, katika Ligi Kuu ya Vodacom iliyomalizika hivi karibuni, kunatokana na uongozi mbovu wa Ismael Aden Rage.

Diwani awaangukia wezi wa sola

Diwani wa kata ya Kisaka wilayani Serengeti, Chacha Togoche, ‘amewangukia’ wezi akiwaomba kutorudia kuiba sola katika zahanati ya kijiji cha Nyiboko.

Wabunge maslahi watalipeleka taifa msituni

Wiki iliyopita nilijizuia kuandika juu ya Bunge na wabunge wetu. Nilijizuia baada ya kusikiliza mjadala uliokuwa unaendelea bungeni, nikawasikiliza wabunge maslahi wanaochangia kwa nguvu hadi wanatokwa na povu midomoni, bila kulieleza Bunge sawa bin sawia kuwa maumivu waliyopata kwa wanahabari yanatokana na maovu yao.

TUFUMUE FIKRA ZA KIMASIKINI KWA WATANZANIA!

Wiki iliyopita Waziri mwenye dhamana katika wizara ya kazi, ajira na maendeleo ya vijana aliwasilisha bajeti ya wizara yake.

Waziri wa zamani aitahadharisha Serikali

*Asisitiza mgawo sawa wa rasilimali

Mbunge wa Msalala, Ezekiel Maige, ni Waziri wa zamani wa Maliasili na Utalii. Mei 25, mwaka huu alichangia hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini. Pamoja na mambo mengine, aliitaka Serikali itoe mgawo stahiki wa mapato kwa maeneo yenye rasilimali. Anaamini mawazo yake yanaweza kuwa tiba kwa kuepusha nchi na machafuko kama yale yanayofukuta mkoani Mtwara. Ifuatayo ni hotuba yake, neno kwa neno.