Latest Posts
Queen Lugembe aingia mbio za kuwania Jimbo la Ubungo kwa tiketi ya ACT-Wazalendo
Dar es Salaam, Agosti 24, 2025 – Mwanaharakati na kada wa ACT-Wazalendo, Queen Julieth William Lugembe, leo amechukua fomu ya kugombea ubunge wa Jimbo la Ubungo kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025. Akizungumza mara baada ya kuchukua fomu hiyo katika…
Tudumishe amani, umoja na mshikamano kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 – Rais Sami
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameeleza umuhimu wa kuhakikisha Taifa linaendelea kudumu katika misingi imara iliyowekwa na waasisi wake, ambayo ni haki, amani, umoja na mshikamano wa kitaifa, akisisitiza kuwa mshikamano na ushirikiano…
Latra yang’ara tuzo Mashirika ya Umma
Dkt. Phillip Isdor Mpango, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, amekabidhi tuzo kwa Wizara ya Uchukuzi na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) kwa kutambua kazi nzuri iliyofanywa katika huduma za udhibiti usafiri ardhini kwa kuzingatia vigezo…
Mashirika ya Umma yatambuliwa kwa ufanisi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Mashirika ya Umma yaliyofanya vizuri katika mwaka wa fedha 2023/24 yamekabidhiwa tuzo maalum na Ofisi ya Msajili wa Hazina katika hafla rasmi iliyofanyika kwenye Kikao Kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi…
Mkutano wa saba wa kimataifa sekta ya madini kufanyika Novemba 2026
Yaelezwa sababu ni kupisha maandalizi ya maandalizi ya Uchaguzi Mkuu Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Wizara ya Madini imetangaza kusogeza mbele Mkutano wa Saba (7) wa Kimataifa wa Uwekezaji katika Sekta ya Madini uliokuwa ufanyike mwezi Novemba 2025 na badala…
Waendesha mashitaka wa Kongo wataka Kabila ahukumiwe kifo
Waedesha mashitaka wa umma katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo wameomba rais wa zamani wa taifa hilo Joseph Kabila kupewa adhabu ya kifo katika kesi inayomkabili ya uhaini. Kabila anashitakiwa bila kuwepo mahakamani kwa makosa hayo na mengine ya uhalifu…