Latest Posts
Koka achukua fomu kutetea Jimbo la Kibaha Mjini
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Jumla ya wagombea kumi wamechukua fomu za kugombea ubunge wa Jimbo la Kibaha Mjini, akiwemo mbunge aliyemaliza muda wake, Silvestry Koka, katika kipindi cha siku mbili tangu kuanza kwa zoezi hilo tarehe 28 Juni, 2025….
Rais Samia, Ndayishimiye wazindua Kiwanda cha Kisasa cha Mbolea
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kushirikiana na Rais wa Jamhuri ya Burundi, Meja Jenerali Mstaafu Evariste Ndayishimiye, leo wamezindua rasmi Kiwanda cha Mbolea cha ITRACOM kilichopo Nala, Jijini Dodoma…
Godwin Ndossi achukua fomu kugombea ubunge Jimbo la Kibaha Mjini
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Mgombea wa ubunge Jimbo la Kibaha Mjini Godwin Ndosi amechukua fomu ya kugombea ubunge katika Jimbo la Kibaha Mjini lililopo Mkoani Pwani. Ndosi ,amechukua fomu hiyo katika ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kukabidhiwa…
Norland kutengeza ajira kwa vijana nchini
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Kutokana na changamoto ya ajira inayowakumba vijana nchini, Kampuni ya Norland, inayojihusisha na utafiti, uzalishaji na usambazaji wa bidhaa tiba za afya, imejipanga kutengeneza fursa za ajira kwa vijana wote wa Kitanzania, ili kuwasaidia…
Kada wa CCM Comrade Japhari Saidi achukua fomu Jimbo la Singida Mjini
Na Mwandishi Wetu, Singida MWANASIASA kijana na Mtaalam wa masuala ya udhibiti wa dawa na vifaa tiba cde Japhari Saidi achukua fomu ya kuomba kuteuliwa na CCM kugombea Ubunge Singida Mjini. Akizungumza mara baada ya kuchukua fomu cde Japhari ameeleza…
Mtaturu ajitosa kugombea Ubunge Jimbo jipya la Ikungi Mashariki
Na Mwandishi wetu,JamhuriMedia,Singida Mbunge wa Jimbo la zamani la Singida Mashariki, Miraji Jumanne Mtaturu, leo ameweka wazi nia yake ya kuendelea kulitumikia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuchukua fomu ya kuwania uteuzi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)…