Latest Posts
Mungu awe nayi wana JAMHURI
Chonde chonje wavuta sigara
Mhariri,
Ninajitokeza kutumia fursa hii kutoa wito kwa watu wote wanaovuta sigara kuacha kasumba mbaya ya kuvuta sigara katika msongamano wa watu, kwa sababu vitendo hivyo vina athari kubwa zaidi za kiafya kwa wasiotumia bidhaa hiyo.
Vijana na makundi matatu ya uongozi
Mwaka 1974 hadi 1978 nilikuwa Katibu Mkuu wa kwanza miongoni mwa waasisi wa Chama cha Mpira wa Miguu Wilaya ya Kinondoni (KIFA), Dar es Salaam. Mwaka 1976 Katibu wa wanachuo, Chuo cha TANU Kivukoni, na Katibu wa TANU (Radio Tanzania Dar es Salaam-RTD) kazini.
Kijiji chachomwa kumpisha Mzungu
*Uamuzi wa Mahakama ya Rufaa wapuuzwa na viongozi
*Wanaopinga kuhama wabambikiwa kesi mahakamani
*Mwanamke afungwa miezi 6 jela, mtoto alelewa na bibi
Wananchi kadhaa katika eneo la Maramboi, Kijiji cha Vilima Vitatu, Wilaya ya Babati mkoani Manyara, hawana makazi baada ya nyumba zao kuchomwa moto ili kumpisha mwekezaji raia wa Ufaransa.
MATHIAS CHIKAWE: Mwanasheria aliyejifunika siasa
* Asema yeye kuwa Waziri wa Katiba na Sheria anajiona kama samaki aliyetumbukizwa majini
Wakazi wa Jimbo la Nachingwea mkoani Lindi, wana kila sababu ya kujivunia bahati ya wabunge wao kuteuliwa na Rais kuongoza wizara mbalimbali hapa Tanzania. Edgar Maokola-Majogo, aliyeliongoza jimbo hilo kwa kipindi cha miaka 30, pamoja na wizara nyingine, alipata kuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa; Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, kitengo cha Kupunguza Umaskini na Kuratibu Mashirika yasiyo ya Kiserikali na Waziri wa Nishati na Madini.
- REA yawasha umeme vitongoji 307 Namtumbo
- Prof. Shemdoe aelekeza wafanyabiashara soko la simu 2000 kuendelea na biashara
- Serikali yatoa ufafanuzi uteuzi wa mbunge Angela Kizigha
- Wasira : Nyerere alikuwa mtetezi wa wanawake, aliandika kitabu hakijachapishwa
- Makonda asimamisha Uchaguzi wa Kamati ya Olimpiki Tanzania
Habari mpya
- REA yawasha umeme vitongoji 307 Namtumbo
- Prof. Shemdoe aelekeza wafanyabiashara soko la simu 2000 kuendelea na biashara
- Serikali yatoa ufafanuzi uteuzi wa mbunge Angela Kizigha
- Wasira : Nyerere alikuwa mtetezi wa wanawake, aliandika kitabu hakijachapishwa
- Makonda asimamisha Uchaguzi wa Kamati ya Olimpiki Tanzania
- Serikali yakutana na Mjumbe Malaam wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola
- Samia azindua minara 758, maunganisho ya mkongo wa mawasiliano
- Rais Samia akiwa kwenye hafla ya uzinduzi wa minara 758 Dodoma
- Mwanamke ajichoma kisu tumboni baada ya kugombana na mpenzi wake
- Spika Zungu awahimiza wabunge kuachana na karatasi, wahamie mfumo wa kidigitali
- Tanzania yaeleza mafanikio na fursa za uwekezaji sekta ya makazi katika kongamano la miji Africa
- Ofisi za Gazeti la Pambazuko zavunjwa na kuibwa nyaraka muhimu
- Watu 85 wakamatwa kwa uzushi wa kuibiwa nyeti, watatu waenda jela miezi sita
- Misaada ya maendeleo yapungua kwa asilimia 23.1 mwaka 2025
- Msajili vyama vya siasa ateta na Rais wa zamani wa Malawi Chakwera