Latest Posts
Mkuu Usalama wa Taifa aking’oka tutapona?
Katika Gazeti la Raia Mwema la Februari 20-26, 2013, kuna makala yenye kichwa cha habari kisemacho “Mkuu wa Usalama wa Taifa Ang’oke”.
Utawala Bora hutokana na maadili mema (4)
Katika “decentralization” kulitokea vituko katika utawala. Mtu kama daktari wa mifugo kasomea mifugo (shahada ya veterinary) eti anateuliwa kuwa Afisa Tawala Mkuu wa Mkoa (Regional Administrative Secretary). Mkuu wa shule ya sekondari anateuliwa kuwa Afisa Utumishi Mkoa (Regional Personnel Officer) na kadhalika, na kadhalika. Utawala wote ukavurugika mara moja.
Serikali imdhibiti mwekezaji huyu
Moja ya habari zilizobeba uzito wa juu katika gazeti hili ni ile inayomhusu raia wa Uswisi, Dk. George Hess, anayetuhumiwa kumiliki na kuuza ufukwe wa Amboni uliopo Wilaya ya Muheza, mkoani Tanga kinyume cha sheria.
Kasi yetu ya kuchimba dhahabu inatisha, idhibitiwe – 2
Wiki iliyopita makala haya yalihoji kwa nini hakuna anayeingia mgodini kupinga uchimbaji wa kasi kubwa bila udhibiti. Leo tunakuletea sehemu ya pili ya makala haya. Endelea…
Rais Karume, Maalim Seif ni Uamsho?
Kwa muda sasa nchi yetu imetikiswa. Imetikiswa si na kingine, bali ishara na viashiria vya udini. Tumepata misukosuko huko Buseresere kwa Wakristo kuamua kuchinja. Tumepata misukosuko huko Zanzibar kwa Padre Evarist Mushi kupigwa risasi na Kanisa kuchomwa moto.
Medeye afichua siri migogoro ya ardhi Arumeru
Mbunge wa Arumeru Magharibi, Gooluck ole Medeye (CCM), ameibuka na kuanika siri ya migogoro ya ardhi katika Wilaya ya Arumeru, mkoani Arusha.