Latest Posts
Vinara mgogoro wa gesi watajwa
Matajiri wakubwa nchini wanaojihusisha na biashara ya mafuta ya petroli, mafuta mazito ya viwandani na kampuni kubwa za kimataifa, ni miongoni mwa wanaochochea mgogoro wa kupinga ujenzi wa bomba la gesi kutoka Mtwara kwenda Dar es Salaam , JAMHURI imethibitishiwa.
NUKUU ZA WIKI
Nyerere: Nilipata ajali ya kihistoria
“Kitaaluma mimi ni mwalimu wa kufundisha darasani; lakini kwa sababu ya ajali ya kihistoria nilijikuta nikiwa kiongozi wa mapambano ya kudai uhuru na baadaye kiongozi wa nchi yetu.”
Maneno haya ni ya Baba wa Taifa letu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
RATIBA YA AFCON 2013
Jumanne 29 Januari, 2013 Ethiopia vs Nigeria saa 3:00 usiku Burkina Faso vs Zambia saa 3:00 usiku Jumatano 30 Januari, 2013 Algeria vs Ivory Coast saa 3:00 usiku Togo vs Tunisia…
Rodgers: Suaresz haendi Anfield
Kiongozi wa Liverpool, Brendan Rodgers, amejitokeza kukanusha uvumi kwamba mchezaji Luis Suarez yuko njiani kuhamia Anfield.
Okwi awanyong’onyesha Simba
Pengo lililoachwa na mshambuliaji mahiri wa kikosi cha Simba, Emmanuel Okwi, limewanyong’onyesha mashabiki kiasi cha kupungukia matumaini ya kuona timu hiyo ikifanikiwa kutetea ubingwa wa Ligi Kuu ya Soka ya Vodacom Tanzania Bara, msimu huu.
Yah: Kama nikichaguliwa kuwa rais nitafanya yafuatayo
Wanangu, ningependa mpokee mawazo yangu muone, je, kuna tija yoyote ya kuwa mbele katika mambo ambayo mimi niko nyuma kama wazee wengine wa zamani; na kwamba uzembe huo wa kutokwenda na wakati ninyi mwendao na wakati mmefanikiwa kwa kiwango gani!