Latest Posts
Huhitaji mtaji kuanzisha biashara!
Miaka ya karibuni, dhana ya ujasiriamali imeenea kwa kasi kubwa miongoni mwa wanajamii. Kwa sasa kila kona tunasikia ujasiriamali – kanisani, mitaani, vyuoni na katika mikutano ya kisiasa kunahubiriwa ujasiriamali. Hata hivyo, kuna kibwagizo kinachojirudia kila zinapotajwa changamoto za ujasiriamali – ukosefu wa mitaji!
MAONI YA KATIBA MPYA
Dk. Kamani: Mahakama isiwe juu ya sheria nchini
Mbunge wa Busega mkoani Simiyu Dk. Titus Kamani (CCM), amependekeza pamoja na mambo mengine, Katiba mpya idhibiti uhuru wa Mahakama na kuruhusu uundaji chombo maalumu cha kuwabana wahujumu uchumi.
FASIHI FASAHA
Tunakubali rushwa ni adui wa haki? (2)
Juma lililopita, nilielezea madhumuni ya Serikali kuunda Tume ya Kero ya Rushwa, na nilionesha matatizo makuu mawili yaliyoikabili katika harakati za kubaini kero ya rushwa nchini.
FIKRA YA HEKIMA
Miradi ya kiuchumi inaua lengo la dini?
Imani za kishirikina zimeendelea kushika kasi nchini, kiasi cha watu wengi kuamini kuwa dini zimeweka kando majukumu ya kiroho na kujikita katika miradi ya kiuchumi.
Utawala bora hutokana na maadili mema (1)
Hivi karibuni Taifa letu la Tanzania limesherehekea sikukuu mbili muhimu na za kihistoria. Bara tulikuwa na sherehe za miaka 51 ya Uhuru wa Taifa letu Desemba 9, 2012 na Zanzibar tulikuwa na sherehe za miaka 49 ya Mapinduzi, Januari 12, 2013. Ni sikukuu za kihistoria maana bila kupata Uhuru toka kwa mkoloni na bila kumpindua Sultan sidhani kama tungekuwa na Jamhuri hii ya Muungano wa Tanzania .
EU itaisumbua sana Uingereza hii
Uamuzi wa Uingereza kupiga kura ya maoni kuwa ndani au nje ya Umoja wa Ulaya (EU) unaogopesha. Watu wanaweza kuona ni kitu kidogo hapa au hapo nyumbani, lakini ukizama kwa kina unaona kwamba tayari kuna mtetemeko kwenye sekta mbalimbali za jamiii.
Habari mpya
- Jeshi la Polisi linafuatilia kwa karibu watu wanaojiita TFF, latoa onyo
- RUWASA na TANESCO wanatupa usingizi Simanjiro
- Ujenzi kiwanda cha kuchakata pamba SIMCU (2018) LTD wafikia asilimia 75
- Dk Mwigulu apanda mti wa mchungwa Kilimanjaro
- Franone wajenga zahanati migodi ya Tanzanite
- Prof.Shemdoe aelekeza magari 14 ya usimamizi wa miradi ya TACTIC kufanya kazi iliyokusudiwa
- Mradi wa kufunga mifumo ya umeme jua maeneo ya visiwani kwa bei ya ruzuku wazinduliwa
- Kihenzile apongeza ujenzi wa meli nne Bandari ya Karema Katavi
- Ukraine yashambulia Jamhuri ya Udmurtia nchini Urusi
- Dk Jafo awezesha elimu ya ufundi akabidhi vyerehani vinne chuo cha FDC Kisarawe – Mzenga
- Mwigulu : Fedha za miradi ya maendeleo sio siri
- DAS Kahama aeleza umuhimu wa nishati ya umeme ya kupikia
- Dk Mwigulu azindua shule mpya ya sekondari ya Mbatakero
- Wakulima wa pamba washauriwa kuacja kilimo cha mazoea na kulima kwa tija zaidi
- Dk Nchimbi afanya mazungumzo na Balozi wa Qatar nchini