JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wahariri tunataka uhuru halisi wa vyombo vya habari

Alhamisi ya January 10, 2013 kwangu imekuwa siku ya historia ya kipekee. Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) lilinikabidhi jukumu la kuwasilisha maoni ya Wahariri kuhusiana na tunayotaka yawemo kwenye Katiba mpya.

BARUA YA WAZI KWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

Ndugu Mhariri,

Sisi ni wanatunduru, tunaandika barua hii tukiwa na majonzi, mfadhaiko na huzuni kubwa kwani tunaona Serikali ya Rais Jakaya Kikwete imetutupa kabisa. Tumeamua kuandika barua hii kupeleka kilio chetu kwa Mheshimiwa Rais kupitia gazeti lako, Jamhuri.

Kimbisa ‘aibinafsisha’ Red Cross

Mbunge wa Afrika Mashariki, Adam Kimbisa na wenzake wanatuhumiwa kujitwalia na kujimilikisha Chama cha Masalaba Mwekundu (TRCS) na kukitumia kwa manufaa yao binafsi.

Serikali yamkomoa msaidizi wa Mkapa

Kanali mstaafu Nsa Kaisi, ambaye amekuwa Msaidizi wa Rais Benjamin Mkapa kwa miaka mingi, amepokwa shamba lenye ukubwa wa ekari 14 katika eneo la Pugu Mwakanga mkoani Dar es Salaam.

Bosi TTCL ashinikiza mkataba wa mamilioni

*Asaini huku akijiandaa kung’atuka kazini

*Kampuni ya ulinzi yabainika utata mtupu

*Walinzi wake watuhumiwa wizi wa mali

MKATABA tata wa Sh milioni 742 kati ya Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) na Kampuni ya Ulinzi ya Supreme International Limited, umeanza kuwatokea puani viongozi wa TTCL, JAMHURI imethibitishiwa.

Kashfa kwa maofisa Ikulu

*Wadaiwa kukingia kifua waliotafuna fedha za wastaafu

*Msaidizi wa JK Mtawa abeba siri nzito, Katibu anena

*Mabilioni ya Hazina, bilioni 1.7 za NORAD zaliwa

Kashfa nzito inawazunguka watendaji wakuu wa Ofisi ya Rais Ikulu, wanaodaiwa kushirikiana na maofisa kadaa wa Hazina ama kutafuta fedha za wastaafu au kuwakingia kifua wabadhilifu.