Latest Posts
Tume ya TEHAMA ilivyoshiriki kwa mafanikio sherehe za Mei Mosi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam TUME ya TEHAMA (ICTC) imeshiriki kikamilifu katika sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani mwaka huu ambazo kwa Jiji la Dar es Salaam, ziliongozwa na Mkuu wa Mkoa huo, Albert Chalamila. Ikiwa ni taasisi…
Halmashauri zatakiwa kusimamia sheria ya mazingira
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma SERIKALI imezitaka halmashauri zote nchini kuendelea kusimamia kikamilifu Sheria ya Usimamizi wa Mazingira Sura 191 ili kuzuia uchimbaji wa mchanga kudhibiti kupanuka kwa mito huku ikiendelea kutenga fedha za kukabiliana na changamoto hiyo. Sanjari hilo…
Man United na Tottenham zaona ‘mwezi’ michuano ya Europa
Ushindi mnono wa Manchester United na Tottenham Hotspurs kwenye mkondo wa kwanza wa nusu fainali za Ligi ya Europa zimeamsha matumaini mapya kwa vikosi hivyo vya England. Ushindi huo umeleta matumaini kwa timu hizo kushinda kombe hilo na kufuzu kushiriki michuano…
Kujiondoa kwa Marekani kutatingisha pakubwa miradi ya kiafya – WHO
Shirika la Afya Duniani (WHO) limetahadharisha kuwa uamuzi wa kujiondoa kwa mfadhili wao mkubwa Marekani kutatingisha pakubwa miradi ya kiafya ya shirika hilo la umoja wa mataifa. Mkuu wa WHO Tedros Ghebreyesus ametoa wito kwa mataifa mengine yaendelee kuchangia ili…
Wizara ya Fedha yapokea tuzo mbili za ushindi sherehe za Mei Mosi
Na Peter Haule, JamhuriMedia, Singida Wizara ya Fedha imeng’ara kwenye Sherehe ya Wafanyakazi (Mei Mosi) Kitaifa, baada ya kuwa mshindi wa kwanza wa mchezo wa mpira wa miguu katika mashindano yaliyoshirikisha Wizara na Taasisi za Serikali. Tuzo za washindi katika…
Serikali yatoa bilioni 15 kwa dawa na vifaa tiba Tabora
Mkuu wa Wilaya ya Tabora Deusdedith Katwale ameipongeza serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutoa  shilingi billion 15 kwa ajili ya ununuzi wa dawa na vifaa tiba Hali hiyo ilipelekea kuboresha na kuimarisha huduma…