JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Senyamule kuzindua Kliniki Maalum ya kutatua kero za wananchi Dodoma

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule ametangaza kuanza rasmi kwa kliniki maalum ya kutatua kero za wananchi, ikiwa ni utekelezaji wa maelekezo ya viongozi wa juu wa Serikali. Akizungumza leo Machi 2,2026 Jijini hapa kuhusu mpango…

NHIF kuelekea Siku ya Wanawake Duniani, yatoa faraja kwa wafungwa Gereza la Isanga Dodoma

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), unashirikiana na Serikali katika kuboresha maisha ya Watanzania kupitia uhakika wa matibabu kwa utaratibu wa bima ya Afya. Mfuko pia unawajibikaji kwa jamii (corporate Social responsibility). Katika…

Mkurugenzi Manispaa Shinyanga atunukiwa shahada ya heshima ya udaktari, ateuliwa balozi wa amani Duniani

Na Dotto Mwaibale, JamhuriMedia, Shinyanga Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga, Mwalimu Alexius Revocatus Kagunze, ametunukiwa Shahada ya Heshima ya Udaktari (Honoris Causa) katika Ustawi wa Jamii na Uongozi wa Biashara kutoka Christian Ministerial Training University (CMTU) ya…

VETA Songea inavyowajengea uwezo wahitimu kukabiliana na changamoto ya ajira

Na Muhidin Amri, JamhuriMedia, Songea MPANGO wa Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan,kuongeza program maaalum za mafunzo ya ufundi stadi kupitia vyuo vya ufundi ni hatua nzuri ya kujenga rasilimali imara kwa vijana hapa nchini….

Mega Copper yaongeza thamani shaba

Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro MKAKATI wa uongezaji thamani katika Sekta ya Madini umeanza kuzaa matunda mkoani Kilimanjaro, baada ya kampuni ya Mega Copper Co Ltd kujikita katika uongezaji wa kiwango cha ubora wa madini ya shaba kutoka asilimia moja hadi…