Latest Posts
Norland kutengeza ajira kwa vijana nchini
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Kutokana na changamoto ya ajira inayowakumba vijana nchini, Kampuni ya Norland, inayojihusisha na utafiti, uzalishaji na usambazaji wa bidhaa tiba za afya, imejipanga kutengeneza fursa za ajira kwa vijana wote wa Kitanzania, ili kuwasaidia…
Kada wa CCM Comrade Japhari Saidi achukua fomu Jimbo la Singida Mjini
Na Mwandishi Wetu, Singida MWANASIASA kijana na Mtaalam wa masuala ya udhibiti wa dawa na vifaa tiba cde Japhari Saidi achukua fomu ya kuomba kuteuliwa na CCM kugombea Ubunge Singida Mjini. Akizungumza mara baada ya kuchukua fomu cde Japhari ameeleza…
Mtaturu ajitosa kugombea Ubunge Jimbo jipya la Ikungi Mashariki
Na Mwandishi wetu,JamhuriMedia,Singida Mbunge wa Jimbo la zamani la Singida Mashariki, Miraji Jumanne Mtaturu, leo ameweka wazi nia yake ya kuendelea kulitumikia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuchukua fomu ya kuwania uteuzi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)…
Dk Dotto Mashaka Biteko achukua fomu Jimbo la Bukombe
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Mashaka Biteko aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Bukombe amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kutetea Ubunge katika Jimbo la Bukombe. Dkt. Biteko amechukua fomu hiyo na kuirejesha kwa Katibu wa Chama…
Jesca John Magufuli achukua fomu kuwania nafasi ya ubunge Viti Maalum
Jesca Magufuli ambaye ni Mtoto wa Rais wa awamu ya tano Hayati Dr. John Pombe Magufuli amechukua rasmi fomu ya kuwania nafasi ya Ubunge wa Viti Maalum kupitia Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Taifa. Jesca ni Binti ambaye amejipambanua…
Dk Biteko : Tuwe na maono ya kuiona kesho yetu
📌Ni katika Bonanza la Wizara ya Nishati na Taasisi zake Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka Wafanyakazi wa Wizara ya Nishati na Taasisi zake kuwa na maono ya kuweza kuona mbali hali itakayowasaidia katika…