JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Waziri Gwajima azindua mradi wa kusaidia watoto wanaoishi na kufanyakazi mtaani

Na WMJJWM-Dar es Salaam Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amezindua mradi wa kuwasaidia watoto wanaoishi na kufanya kazi mtaani (Children in Street Situation (CiSS) utaotekelezwa katika mikoa ya Dar Es Salaam,…

Mradi wa TACTIC kubadilisha mandhari ya Jiji la Dodoma

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma MKURUGENZI Mtendaji wa Jiji la Dodoma, Dkt. Fredrick Sagamiko ameeleza kuwa ujio wa mradi wa Uendelezaji Miundombinu ya Miji Tanzania (TACTIC) umekuwa na manufaa makubwa kwa kuwa sehemu ya utatuzi wa changamoto mbalimbali katika jiji…

Mashirika ya umma yatakiwa kuendeleza ubunifu na mageuzi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Mashirika ya Umma nchini yameshauriwa kuendeleza ubunifu, wepesi na mageuzi ya kimkakati ili kuongeza tija na kuchochea maendeleo ya taifa, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuyawezesha mashirika hayo kuwa yenye ushindani na ufanisi mkubwa….

Ahadi ya Serikali kufikisha umeme wa gridi Kagera yatekelezwa

📌 Dkt.Biteko ashuhudia utiaji saini mikataba itakayowezesha Wilaya zote Kagera kupata umeme wa Gridi 📌 Awali umeme mwingi ulikuwa ukitoka nchini Uganda hivyo kufanya Mkoa kutokuwa na umeme wa uhakika na wa kutosha 📌 Asema Rais.Dkt. Samia alishatoa maagizo ya…

Rais Mwinyi akutana na wanafunzi waliochaguliwa kutembelea NASA Marekani

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema kuwa Serikali itaendelea kuunga mkono juhudi za kuwaandaa vijana wengi zaidi wa Zanzibar kuwa wataalamu wa elimu ya anga. Dkt. Mwinyi ameyasema hayo alipokutana na wanafunzi…

Mbaroni kwa kumuua mpenzi wake kwa kumkatakata na wembe

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Shinyanga Polisi mkoani Shinyanga inamshikilia Pendo Medusela (37), mkazi wa Manispaa ya Shinyanga, kwa tuhuma za kumuua mpenzi wake, Timithoy Magesa (35), kwa kumkatakata kwa wembe sehemu mbalimbali za mwili wake kwa kile kilichodaiwa ni kutokana…