Latest Posts
Dk Biteko : Tuwe na maono ya kuiona kesho yetu
📌Ni katika Bonanza la Wizara ya Nishati na Taasisi zake Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka Wafanyakazi wa Wizara ya Nishati na Taasisi zake kuwa na maono ya kuweza kuona mbali hali itakayowasaidia katika…
Watu 34 wafariki baada ya magari mawili kugongana na kuwaka moto Same mkoani Kilimanjaro
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Same Watu zaidi ya 34 wamepoteza maisha na wengine 16 kujeruhiwa baada ya kutokea ajali ya barabarani leo asubuhi, Jumamosi Juni 28, 2025, katika eneo la Sabasaba, Kata ya Same, wilayani Same, mkoani Kilimanjaro. Ajali hiyo…