Latest Posts
Mbunge Byabato ameiweza Bukoba
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Bukoba Julai 23, 2024 niliandika makala yenye kichwa cha habari kisemacho: “Rais Samia ana maamuzi magumu.” Makala hii niliiandika baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kutengua uteuzi wa aliyekuwa Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya…
Polisi, DCEA wakamata shehena ya bangi ikitoka Malawi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya JESHI la Polisi mkoani Mbeya kwa kushirikiana na Mamlaka ya Kupambana na Kuzuia Dawa za kulevya (DCEA) wamekamata gari likiwa limebeba shehena ya dawa za kulevya aina ya bangi zikiletwa nchini kutoka Malawi. Kamanda wa…
ACT- Wazalendo yaguswa kifo cha Papa Francis
Chama cha ACT- Wazalendo kimepokea kwa huzuni na masikitiko kifo cha Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis kilichotokea leo. Taarifa iliyotolewa na Kiongozi wa chama hicho, Dorothy Semu imemuelezea Papa Francis kuwa alikuwa kiongozi mnyenyekevu aliyehubiri haki na kutafuta…
Papa alifariki kutokana na kiharusi na mshtuko wa moyo – Vatican
Kifo cha Papa Francis siku ya Jumatatu akiwa na umri wa miaka 88 kimekuja baada ya kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki kukumbwa na matatizo kadhaa ya kiafya katika miaka ya hivi karibuni. Francis alifariki asubuhi Jumatatu katika makazi yake, Vatican…
Wafanyabiashara waipa kongole TPA kuboresha huduma za bandari na kuongeza mapato ya Serikali
Na Mwandishi Wetu, JammhuriMedia, Dar es Salaam Wafanyabiashara kutoka maeneo mbalimbali ya Tanzania wameisifu Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kwa maboresho ya miundombinu yanayoendelea katika bandari zake hapa nchini, hatua ambayo wamesema imechangia bidhaa zao kufika sokoni kwa…