JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

QATAR kushirikiana na NEMC kupambana na gugu vamizi ziwa Victoria

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kupitia Ubalozi wa Tanzania nchini Qatar wamefanya mazungumzo yenye lengo la kuanzisha ushirikiano katika masuala mbalimbali ya mazingira na mabadiliko ya tabianchi pamoja…

Saratani ya mlango wa kizazi yatajwa kuendelea kutikisa licha ya jitihada za Serikali

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Saratani ya mlango wa kizazi bado imeendelea kuwa tishio kubwa kwa afya ya wanawake nchini ambapo kila mwaka, zaidi ya wanawake 100,000 huambukizwa, huku zaidi ya 6,000 wakipoteza maisha. Takwimu kutoka Taasisi ya Saratani ya Ocean…

REA yahamasisha fursa ya mkopo ujenzi wa vituo vidogo vya bidhaa za mafuta vijijini

📌Watanzania watakiwa kuchangamkia ujenzi wa vituo vidogo vya mafuta ya Dizeli na Petroli Vijijini 📌TAPSOA yaipongeza REA kwa kuhamasisha upatikanaji wa uhakika wa bidhaa za mafuta vijijini kwa usafi na usalama 📍Dar es Salaam Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini…

Ongezeko la mapato Namanga lamkosha Dk Biteko

📌Ailekeza TANESCO kufunga Kituo cha Kupoza Umeme Longido 📌Maelekezo ya Serikali yatekelezwa Longido 📌Amuagiza Makonda kusimamia ufungaji vifaa vya maabara Sekondari ya Longido Samia Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa…

Tanzania, Canada kushirikiana kuendeleza sekta ya madini nchini

▪️Balozi wa Canada apongeza mageuzi makubwa ya sekta ya madini ▪️Wachimbaji wadogo kujengewa uwezo wa uchimbaji madini kwa teknolojia ya kisasa ▪️Mafunzo maalum ya uongezaji thamani kuendeshwa kupitia VETA ▪️Waziri Mavunde asisitiza ushirikiano katika utafiti wa kina wa Madini Na…

EWURA yazitaka kampuni za gesi kuongeza mawakala, kudhibiti uchakachuaji wa gesi

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za nishati na Maji (EWURA) imezitaka Kampuni za gesi kuongeza idadi ya mawakala wa usambazaji kwenye maeneo mengi ili kuepusha watu kwenda kununua gesi kwa wauzaji wasio rasmi….