Latest Posts
Polisi Rukwa kuwasaka waliofukua kaburi na kuondoka na mwili wa marehemu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Rukwa Jeshi la Polisi mkoani Rukwa linawatafuta watu waliohusika kufukua kaburi la Julius Ladislaus (24) aliyefariki Novemba mwaka jana na kuondoka na mwili wa marehemu. Akizungumza na waandishi wa habari jana Kamanda wa Polisi Mkoa wa…
Macron : Makubaliano ya amani Ukraine lazima yawe na dhamana ya usalama
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amesema kuwa makubaliano yoyote ya amani kuhusu vita nchini Ukraine lazima yawe na dhamana ya usalama. Kauli hiyo alitoa alipokutana na Rais wa Marekani, Donald Trump, katika Ikulu ya White House kwa mazungumzo kuhusu mgogoro…
ACT Wazalendo : Kipaumbele chetu ni kupigania maboresho mifumo ya uchaguzi nchini
Na Magrethy Katengu, JamuhuriMedia, Dar es Salaam CHAMA cha ACT Wazalendo kimesema kipaumbele chake kwa sasa ni kupigania maboresho ya mfumo wa uchaguzi nchini utakaoleta haki, kuheshimiwa maamuzi na matakwa ya wananchi. Ameyasema Februari 24, 2025 Katibu Mkuu wa chama…
Madiwani Arusha wamwomba Makonda agombee ubunge Arusha Mjini
Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha Arusha .Madiwani wa Baraza la Halmashauri katika Jiji la Arusha wamemuomba Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda agombee ubunge katika Jimbo la Arusha Mjini kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika oktoba mwaka huu 2025. Madiwani…
Korogwe waipongeza Serikali utekelezaji miradi ya umeme
📌 Ni katika ziara ya Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan mkoani Tanga 📌 Vijiji vyote 118 vyafikishiwa umeme 📌 Naibu Waziri Kapinga ashiriki ziara. Wananchi wa Wilaya ya Korogwe wameipongeza Serikali kwa utekelezaji wa miradi ya umeme Vijijini ambapo katika…