Latest Posts
Waziri Mkuu Majaliwa mgeni rasmi Samia Marathon Mlandizi
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Mbio za Samia Marathon zitakazofanyika Februari 22, 2025, katika viwanja vya Shule ya Mtongani, Mlandizi, Kibaha Vijijini, mkoani Pwani. Mbio hizi zinalenga kuhamasisha wananchi kuhusu umuhimu…
Marekani yasusia mkutano wa G20 nchini Afrika Kusini
Mkutano wa mawaziri wa masuala ya kigeni wa nchi tajiri duniani (G20) umeanza leo huko Afrika kusini. Hata hivyo, Marekani kupitia Waziri wake wa masuala ya kigeni wa Marekani Marco Rubio haitohudhuria mkutano huo. Marco Rubio alitangaza kutohudhuria kupitia kwenye…
Operesheni ya kuwadhibiti fisi Simiyu yaonesha mafanikio makubwa
📍 Zaidi ya Fisi 16 wavunwa. Na Mwandishi Wetu, Jamuhuri Media , Simiyu Oparesheni maalumu ya kuwadhibiti wanyamapori wakali na waharibifu aina ya fisi waliokuwa wanaleta taharuki na madhara Kwa jamii inayoendelea Mkoani Simiyu imeonesha mafanikio makubwa baada ya fisi…
TAKUKURU kuna rushwa kwa waamuzi
Na Andrew Peter, JamhuriMedia, Dar es Salaam Madai na shutuma za waamuzi kuhongwa ni moja ya mambo ya kawaida kuyasikia kila siku katika Ligi Kuu Tanzania Bara, lakini hadi sasa Takukuru haijafanya lolote kuwakamata wahusika. Waamuzi wanalaumiwa kwa kufanya upendeleo…
Ujangili: Asiyoambiwa Rais Samia
Na Manyerere Jackton, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mambo makubwa yanayohusu hatima ya taifa letu hayana budi yasemwe hata kama kufanya hivyo kutaleta gharama kwa wanaoyasema. Huu ni wajibu wa kikatiba, kwa kuwa wananchi wa Tanzania, kama ilivyoainishwa katika Katiba ya…
Zebaki yawatesa, wanawake, watoto
Na Anthony Mayunga, JamhuriMedia, Mara Baadhi ya wanawake na watoto wanaojihusisha na uchimbaji na uchenjuaji wa dhahabu kwa kutumia zebaki hapa nchini ni waathirika wakubwa wa kemikali hiyo. Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), zebaki inapoingia mwilini inaharibu…