JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Kempeni ya Pika Smart inayohamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia yazinduliwa

📌 Kamishna Luoga asisitiza matumizi ya umeme katika Nishati Safi ya Kupikia Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Darces Salaam Kamishina wa Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Innocent Luoga amezindua kampeni ya kitaifa ya kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia ya…

Wakandarasi wahamasishwa uadilifu

KIONGOZI wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa, Ismail Ali ussi amewataka wakandarasi waliopewa kazi za miradi ya kimkakati ya maendeleo  kuitekeleza kwa viwango vyenye ubora hatua ambayo inalenga kujibu changamoto za wananchi. Kauli hiyo ameitoa wakati wa uwekaji wa Jiwe…

Uchaguzi Mkuu kugharamiwa na fedha za ndani

Serikali imesema Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani mwaka 2025 utagharamiwa kwa fedha za ndani. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba, alipokuwa akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya Serikali kwa mwaka 2025/26 bungeni leo…

Halmashauri ya Mji Handeni wapongezwa mapato, hati safi

MKUU wa Mkoa wa Tanga, Dk Batilda Burian ameipongeza Halmashauri ya Mji Handeni kwa kupata hati safi kwa miaka mitatu mfululizo pamoja na kuvuka lengo la ukusanyaji wa mapato kwa asilimia 108 hadi kufikia Juni 7, 2025. Akizungumza katika kikao…

Tanzania, Rwanda zasaini hati ya makubaliano ya uimarishaji mpaka wa kimataifa

Na Munir Shemweta, WANMM NGARA Tanzania na Rwanda zimetiliana saini Hati ya Makubaliano (MoU) ya Uimarishaji mpaka wa Kimataifa baina ya nchi hizo. Makubaliano hayo yamefikiwa Juni 12, 2025 mara baada ya kukamilika kwa Kikao cha Kamati ya Pamoja cha…