Latest Posts
Dunia yapata pigo kwa kumpoteza Papa Francis
Leo tarehe 21 Aprili 2025, dunia imepata pigo kubwa kufuatia taarifa rasmi ya kifo cha Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis. Vatican imethibitisha kuwa Papa Francis amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 88, baada ya kusumbuliwa na…
Mchungaji Dk Getrude Rwakatare aendelea kukumbukwa
….Alisaidia mahabusu 150 kuachiwa huru……..Alisomesha maelfu kutoka kaya maskini Na Mwandishi Wetu KANISA la Mlima wa Moto la Mikocheni jijini Dar es Salaam, limeendelea kuenzi kazi nzuri zilizokuwa zikifanywa na mwasisi wake Hayati Askofu Dk. Getrude Rwakatare ikiwemo kuombea amani…
Serikali yashauriwa kumwachia huru Lissu na wenzake
Na Mwandishi Maalum Baraza la Maaskofu la Kanisa Katoliki nchini Tanzania (TEC), limetoa wito kwa Serikali kuwaachilia bila masharti viongozi wa kisiasa waliokamatwa kwa kudai haki, likisisitiza kuwa hatua hiyo ni muhimu katika kulinda amani ya taifa, hasa kuelekea mwaka…
Papa awatakia waumini Pasaka njema
Papa Francis amejitokeza katika Uwanja wa St Peter mjini Vatican kuwatakia “Pasaka Njema” maelfu ya waumini. Papa, 88, alitoka kwa kiti cha magurudumu na kupunga mkono kutoka kwenye roshani ya St Peter Basilica na kushangilia umati wa watu, akisema: “Ndugu…
Watu wenye silaha wamewaua takribani watu 56 Nigeria
Watu wenye silaha wamefanya mauaji ya takriban watu 56 mapema wiki hii katika jimbo la Benue katikati mwa Nigeria, ofisi ya gavana ilisema Jumamosi, ikirekebisha kwa kasi idadi iliyotolewa awali ya watu 17. Viatu vilizosalia vya wanafunzi wa Shule ya…
Zelenskiy ametoa salamu za Pasaka kwa kuilalamikia Urusi
Rais Volodymyr Zelenskiy katika Jumapili hii ya Pasaka ametaka Waukraine kutokata tamaa ya kupatikana kwa amani,akisema watarejea katika nchi yao na wavumulie kuishinda nyakati ngumu ya vita iliyodumu kwa siku 1,152. Akiwa amevaa shati la kijivu lenye nakshi ya Kiukraine,…