JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wakazi zaidi ya 1,000 Mpiji Magoe kunufaika na huduma ya majisafi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA) inaendelea na utekelezaji wa mradi wa maji Mpiji Magoe katika kata ya Mbezi Wilayani Ubungo wenye lengo la kutatua adha ya maji…

Mitaala 21 ya TEHAMA vyuoni yahakikiwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma KATIKA kuhakikisha elimu ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) inatolewa kwa viwango vya kisasa, Tume ya TEHAMA nchini imehakiki mitaala 21 katika vyuo mbalimbali nchini. Uhakiki huo, kwa mujibu wa Mkurugenzi Mkuu wa Tume…

Bunge laipongeza Tume ya Tehama kukipeleka Kiswahili duniani

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, imeipongeza Tume ya TEHAMA kwa juhudi inazofanya katika kukuza sekta hiyo nchini, lakini zaidi katika jitihada za `kukiuza’ Kiswahili duniani. Pongezi hizo zimetolewa bungeni jijini Dodoma jana na…

Tanzania kuanza kuzalisha kompyuta

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma TANZANIA iko mbioni kuwa na kiwanda kikubwa cha kutengeneza kompyuta mpakato (Laptop) kitakachozalisha kompyuta aina ya Tanzanite. Aidha, nyingi ya komyuta hizo zitaelekezwa katika kukuza sekta ya TEHAMA kuanzia shule za msingi hadi sekondari. Hayo…

Haya hapa matokeo kidato cha nne 2024/2025

HAYA HAPA MATOKEO KIDATO CHA NNE 2024 GUSA CHINI https://matokeo.necta.go.tz/results/2024/csee/CSEE2024/CSEE2024.ht Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya watahiniwa 557,796 ya mitihani ya kidato cha nne iliyofanyika mwezi Novemba mwaka 2024, ambapo wasichana…