JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Nchi za SADC zahimizwa kutunza na kulinda amani

Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Samwel Shelukindo amesema kuwa licha ya changamoto za kisiasa, uhalifu unaovuka mipaka na matatizo ya kiuchumi kwa jamii ambayo yanaendelea kutafutiwa ufumbuzi, bado Nchi za Jumuiya ya…

NCCR Mageuzi yatambulisha wagombea urais na ilani mpya ya uchaguzi 2025

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Baada ya kikao maalum cha Halmashauri Kuu ya Taifa kilichofanyika jana jijini Dodoma, Chama cha NCCR Mageuzi leo Agosti 15,2025 kinatarajiwa kuelekea Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kuchukua fomu za uteuzi wa wagombea wake wa…

ADC yaahidi fao la malezi ya mtoto mutoka kuzaliwa hadi miaka 18

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) kimeahidi kuanzisha mpango maalum wa ustawi wa jamii utakaompa kila mzazi fao la kumlea mtoto kuanzia anapozaliwa hadi kufikisha umri wa miaka 18, iwapo kitapewa ridhaa ya kuunda serikali baada…

Magoti asisitiza usimamizi wa miradi ya maendeleo Mafia

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Mafia Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Mafia, Petro Magoti amesisitiza kufanya kazi kwa bidii na kujituma hususan katika usimamizi wa Miradi ya Maendeleo ili iweze kuleta tija na kuunga juhudi za Mhe. Rais wa Jamhuri ya…

Walimbwende wa Miss Grand Tanzania wafanya ziara ya mafunzo Hifadhi ya Pande

Na Beatus Maganja, JamhuriMedia,Dar es Salaam Walimbwende 24 wanaoshiriki mashindano ya Miss Grand Tanzania 2025 kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania Bara, wamefanya ziara ya siku moja katika Hifadhi ya Pande iliyopo jijini Dar es Salaam tarehe 13 Agosti 2025 kwa…

Wanne wahukumiwa miaka 30 jela kwa wizi

Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Nzega Mkoani hapa imewahukumu  watu 4 wakazi wa Mtaa wa Maporomoko kata ya Nzega Mashariki kutumikia kifungo cha miaka 30 baada ya kupatikana na hatia ya uhalifu wa kutumia…