Latest Posts
Serikali yaongeza kasi kuimarisha usalama barabarani kupitia mafunzo ya kitaalamu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Dkt. Charles Msonde, amesema Serikali inaendelea kuchukua hatua za haraka katika kuimarisha usalama barabarani kwa kuboresha usanifu wa miundombinu, kuimarisha utekelezaji wa sheria, pamoja na kuwajengea uwezo wataalamu…
Dk Magembe : Hakuna mgonjwa wa kipindupindu, awataka wananchi kuchukua tahadhari
Na Hassan Kimweri, WAF – Morogoro Mganga Mkuu wa Serikali Dkt. Grace Magembe amewataka wananchi kuendelea kuchukua tahadhari kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha ili kujikinga na magonjwa ya mlipuko kwa kuepuka uchafuzi wa mazingira, kuwa na matumizi sahihi ya maji…
Mwanasheria Mkuu ahimiza mageuzi ya sheria za anga kukabiliana na AI na teknolojia mpya
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari amesisitiza juu ya umuhimu wa kutambua mabadiliko na mageuzi makubwa ya kiteknolojia kunakopelekea ongezeko la matumizi ya Akili Bandia (AI), ndege zisizo na rubani, mifumo ya kidijitali…
Malalamiko ya viwanja mbadala yapatiwa ufumbuzi Dodoma
Na Mwandishi Wetu, JamhiriMedia, Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeyapatia ufumbuzi malalamiko ya muda mrefu ya viwanja mbadala kwa wananchi wa jiji la Dodoma. Suluhisho hilo linafuatia malalamiko ya takriban wananchi 4000 wa jiji…
Serikali yaweka mkakati wa kutangaza Tanzanite na madini ya vito nchini Qatar
■ Ni utekelezaji wa maagizo ya Mh Rais Samia kurudisha heshima ya Tanzanite ■ Mkutano wa wawekezaji na wafanyabiashara wa madini baina ya Nchi mbili kuandaliwa ■ Wafanyabiashara wa madini ya vito kushiriki maonesho ya bidhaa za madini Qatar mwezi…





