Latest Posts
Askofu Chilongani : Serikali, CHADEMA kaeni meza moja mmalize tofauti zenu
Askofu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Central Tanganyika Dkt. Dickson Chilongani amewaomba viongozi wa Serikali na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), wakae meza moja wamalize tofauti zao kwa njia ya mazungumzo. Dkt. Chilongani ameyasema hayo leo Aprili 20,2025…
Balozi Matinyi : Nitatumia mbinu za kihabari kung’amua na kujifunza mikakati ya kuvutia utalii
Na Mwandishi Wetu Balozi mpya wa Tanzania nchini Sweden, Mobhare Matinyi, ameahidi kuitangaza Tanzania na vivutio vyake kimataifa kwa kutumia uzoefu wake katika fani ya uandishi wa habari, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuimarisha diplomasia ya uchumi na utalii….
Waziri Majaliwa atoa rai kwa viongozi wa dini kuombea Uchaguzi Mkuu 2025
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ametoa rai kwa viongozi wa dini kuendelea kuliombea Taifa pamoja na uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu.. Hayo yamesemwa Jijini Dodoma wakati wa Ibada takatifu ya kusimikwa kwa Askofu Mkuu Dkt. Evance Lucas Chande wa…
Wanane wachukua fomu kugombea Jimbo la Wete
Wanachama wanane wa Chama cha ACT- Wazalendo wamechukua fomu kugombea ubunge wa jimbo la Wete lililopo Pemba Visiwani Zanzibar. Miongoni mwao ni mbunge wa sasa wa jimbo hilo, Omar Ali Omar, Makamu Mwenyekiti wa Vijana Taifa Nassor Ahmed Marhun, Katibu wa…
Dk Biteko awaasa wakristo kuliombea taifa
Wakristo wakumbushwa ufufuko wa Yesu ulete mabadiliko maishani mwao Ataka wenye nia thabiti wajitokeze kugombea Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewaasa wakristo kuliombea Taifa…
Mchungaji Mbeya auawa kwa tuhuma za ushirikina
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya Wananchi wenye hasira katika Kata ya Ilemi jijini Mbeya wamemuua kwa kumpiga hadi kufa, mchungaji Golden Ngumbuke (66) wa Kanisa la Pentecostal Evangelical Fellowship Africa (PEFA), wakimtuhumu kuhusika na kifo cha jirani yake, Katekista Fadhili…