JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Polisi Pwani wamkamata aliyesambaza picha chafu za utupu akihusisha shule ya Baobab

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani JESHI la Polisi Mkoa wa Pwani linamshilia mtuhumiwa mmoja aliyetengeneza na kusambaza picha chafu za utupu, akiziunganisha na picha mbalimbali za Shule ya Baobab iliyopo mkoani Pwani. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Kamishina Msaidizi…

Wamuua ndugu yao na kumfukia kwenye shimo nyumbani kwake

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa wawili Fredy Rajab Chaula na Bashiru Richard Chaula kwa tuhuma za kula njama ya mauaji ya Regina Rajab Chaula (62) mkazi wa…

TikTok yarejesha huduma zake Marekani baada ya ahadi ya Trump

TikTok imerejesha huduma zake kwa watumiaji wake milioni 170 nchini Marekani baada ya Rais Mteule Donald Trump kusema atatoa agizo la kuipa programu hiyo ahueni atakapoingia madarakani rasmi hii leo. Jumamosi jioni, programu hiyo inayomilikiwa na Wachina ilisitisha huduma zake…

Jafo aagiza jengo la Metrolojia CBE likamilike kwa wakati

Na Mwandishi Wetu JamhuriMedia, Dar es Salaam WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Selemani Jafo amemwagiza mkandarasi kampuni ya LI JUN Construction ya China anayejenga jengo la Metrolojia la Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), kukamilisha kwa wakati na kwa ubora…

Trump aahidi kuwazuia wahamiaji kuingia Marekani

Donald Trump ameahidi kuchukua hatua kadhaa za kuzuia kile alichokiita “kuanguka kwa Marekani” mara tu atakapoapishwa rasmi kama rais wa nchi hiyo Jumatatu. Akiwahutubia wafuasi wake walioujaza uwanja wa michezo wa One Sports Arena huko Washington usiku wa kuamkia Jumatatu…

Uhusiano baina ya Tanzania, Czech kung’ara

Uhusiano wa kiuchumi baina ya mataifa umeelezwa kuwa ndio uhusiano imara na bora zaidi ukilinganisha na nyanja nyingine za uhusiano duniani kwa sasa. Hayo yamesemwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo…