Latest Posts
Uwezo wa mitambo ya kufua umeme wafikia megawati 3,091.71 – Kapinga
📌 Wateja wapya 109,918 waunganishiwa na huduma ya umeme nchini 📌 Kamati ya Bunge yaipongeza TANESCO kwa kuimarisha Miundombinu ya umeme Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema kuwa uwezo wa mitambo ya kufua…
Lwaitama : Tukijichanganya baada ya uchaguzi tutafutwa
Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mjumbe wa bodi ya wadhamini wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mzee Azavel Lwaitama amewataka wanachama cha Chama hicho kuzingatia umoja wao hasa baada ya uchaguzi kumalizika, kwani migogoro ya ndani inaweza…
Tujiepushe na ulevi wa ushindi – Lwaitama
Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mjumbe wa bodi ya wadhamini wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mzee Azavel Lwaitama amewataka wanachama cha chama hicho kuzingatia umoja wao hasa baada ya uchaguzi kumalizika, kwani migogoro ya ndani inaweza…
Msigombanie uongozi kwa ajili ya ubunge na udiwani
Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amewataka wanachama wake kuhakikisha chama chao wanakwenda kujibu maswali ya kijamii katika maeneo wanayoishi, na si kila siku kujibu maswali ya kisiasa. Mbowe…
Mgeja :Tunawatakia heri wana-CCM kumpata Makamu Mwenyekiti
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mwanasiasa mkongwe na aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga Khamis Mgeja, amewatakia heri wana-CCM katika mkutano mkuu wa kumpata kushika mikoba ya aliyekuwa Makamu Mwenyekiti, Abdulahman Kinana. Akizungumza leo Januari 16,…
CHAN 2024; Wasemavyo wadau wa soka kuhusu droo, kuahirishwa kwa michuano
Shirikisho la soka barani Afrika CAF limetangaza droo ya michuano ya CHAN inayoandaliwa mwaka huu kwa ushirikiano wa nchi ya Kenya,Tanzania na Uganda. Droo hiI ilitangazwa siku moja tu baada ya michuano hiyo kuahirishwa kutoka mwezi Februari hadi Agosti mwaka…