Latest Posts
Serikali yawataka wabunifu Majengo, Wakadiriaji Majenzi kuhakikisha jamii inawatambua na kuwatumia
Na Mwandishi Wetu SERIKALI imewataka Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi nchini kuhakikisha jamii inawatambua na kuwatumia katika masuala ya majenzi ili waweze kuwa na makazi bora Pia imetoa maagizo manne kwa Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi…
Mbunge Mavunde akabidhi jengo la kupumnzikia wananchi Hospitali ya Rufaa Dodoma
▪️RC Senyamule ampongeza kwa jengo na uanzishwaji wa ujenzi wa uzio ▪️Rais Samia apongezwa kwa maboresho makubwa ya huduma ya Afya ▪️Wananchi wamshukuru Mbunge Mavunde kwa utatuzi wa changamoto ya muda mrefu. Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Mh. Anthony…
Serikali yajenga bandari nyingine Zanzibar kulinda mazingira
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma SERIKALI inajenga bandari nyingine nje ya Manispaa ya Mtwara Mikindani itakayotumika kusafirisha bidhaa chafuzi kwa mazingira na afya kama vile saruji na makaa ya mawe, ili magari yote yanayobeba makaa ya mawe kupita nje ya…
Senyamule: Kila Mtanzania awe mjumbe wa mapambano dhidi ya dawa za kulevya
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule, ametoa wito kwa Watanzania kujitokeza kwa wingi kushiriki katika maadhimisho ya kitaifa ya Siku ya Kupinga Dawa za Kulevya Duniani, akisisitiza kuwa tatizo hilo ni tishio la moja…
Waziri Mkuu ammwagia sifa Mkurugenzi Mkuu STAMICO, avutiwa na mafanikio makubwa
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Kassim Majaliwa Majaliwa amevutiwa na utendaji na mafanikio iliyopata Shirika la Maendeleo la Taifa (STAMICO) kwa kipindi kifupi. Pongezi hizo alizotoa leo tarehe 24 Juni,2025 jijini Dodoma katika hotuba yake wakati wa uzinduzi…