JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Shule binafsi za awali, msingi 101 zanufaika na mradi wa Opportunity International

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Dar Ofisa Elimu Taaluma wa Mkoa wa Dar es Salaam, Eva Mosha, ametoa rai kwa wamiliki na walimu wa shule binafsi za awali na msingi kuimarisha ufanisi wa ufundishaji na kuboresha ubora wa elimu, ili kuinua…

ETDCO yaibuka kidedea tuzo za ZICA

Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme nchini (ETDCO) imebuka mshindi katika kipengele cha Mkandarasi Bora wa Ujenzi wa Miundombinu ya Umeme, katika Tuzo za Zanzibar International Construction Awards (ZICA) zilizofanyika Februari 22, 2025,…

Trump tishio jipya Ukraine

Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, amesisitiza umuhimu wa msaada wa Marekani katika juhudi za kurejesha amani nchini mwake. Katika hotuba yake, aliomba usaidizi wa dhati wa Washington kuhakikisha kumalizika kwa vita vinavyoendelea. Wakati huohuo, Rais wa Marekani, Donald Trump, amemkosoa…

Rais Samia kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa bwawa la Mkomazi

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuweka Jiwe la msingi la ujenzi wa Bwawa la Mkomazi pamoja na kushuhudia utiaji saini wa mikataba miwili ya ujenzi wa Skimu za Mkomazi na Chekelei Wilayani Korogwe, mkoani Tanga.  Kwa Mujibu wa Taarifa…

Serikali yaweka msisitizo ujenzi uchumi wa kidijitali

*Yaguswa ubunifu tuzo za kihistoria TEHAMA 2025 Na Mwandishi Maalumu, JamhuriMedia, Arusha JIJI la Arusha limeandika historia ya kuwa mwenyeji wa kwanza wa Tuzo za TEHAMA Tanzania, huku Serikali ikiahidi kufanya kila linalowezekana katika kuikuza sekta ya TEHAMA ikiwa ni…

Wakandarasi wasimamiwe kutekeleza miradi ya nishati kwa wakati – Kapinga

📌Aagiza wasimamiwe kwa karibu kumaliza miradi 📌Awataka Watendaji TANESCO kuwa na mahusiano mazuri na wananchi Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga amewataka watendaji wa Sekta ya Nishati kuwajengea uwezo watoa huduma wanaotekeleza miradi mbalimbali ya sekta ya nishati nchini….