Latest Posts
Wataalam wa kisheria Pwani wahamasishwa kutoa haki kupitia Mama Samia Legal Aid- Mchatta
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani SERIKALI imewajumuisha wataalam zaidi ya 40 wa kisheria kutoka halmashauri tisa mkoani Pwani kwa lengo la kutoa elimu ya kisheria na utatuzi wa migogoro kwa wananchi, ili kurahisisha utendaji katika utekelezaji wa kampeni ya Msaada…
EACOP yashinda tuzo ya ‘Afya na Usalama’ kazini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) umeshinda tuzo ya kujali ‘Afya na Usalama’ kazini kwa mwaka wa 2024/2025 inayotolewa na taasisi isiyo ya kiserikali ya Afya na Usalama Kazini…
ACT -Wazalendo : Mwaka 2025 ni mwaka wa mabadiliko
………………… .Hotuba ya Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Ndg. Dorothy Jonas Semu kwa Halmashauri Kuu tarehe 23 Februari, 2025 Ndugu Mwenyekiti wa ChamaNdugu Makamu Mwenyekiti BaraNdugu Makamu Mwenyekiti ZanzibarNdugu Viongozi, wajumbe wa Halmashauri Kuu na Kamati KuuNdugu Mwenyekiti wa…
Bilioni 51 za Rais Samia zaleta neema Manispaa Tabora
Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora SERIKALI ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan imepongezwa kwa kupeleka zaidi ya sh bil 51 katika halmashauri ya manispaa Tabora kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo tangu mwaka 20201….
STAMICO yapongezwa kwa maono na mafanikio makubwa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Songwe Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) limepongezwa kwa kasi kubwa ya maendeleo lililoyapata kwa miaka michache iliyopita. Hayo yamesemwa leo tarehe 22 Februari, 2025 na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Msafiri Mbibo kwenye…





