JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

NFRA Yapanua Uwekezaji ,Ufanisi katika Sekta ya Mbolea Nchini

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) Kupitia mfumo wake wa ruzuku ya mbolea,imesaidia ongezeko la matumizi ya mbolea kutoka tani 363,599 mwaka 2020/2021 hadi tani 840,714 mwaka 2023/2024. Ongezeko hilo limewezesha kuongezeka kwa matumizi ya mbolea…

Maendeleo Benki kutekeleza kwa vitendo huduma ya kifedha kidigitali

Na Magrethy Katengu,JamhuriMediaDar es Salaam MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi wa Maendeleo Benki ,Profesa Ulingeta Mbamba amesema kuwa Maendeleo Bank imendelea kutekeleza kwa vitendo mabadiliko ya teknolojia katika sekta ya Fedha kwa kuanzisha huduma ya kidigitali ijulikanayao kama “Click Bank…

Serikali yavuna bilioni 3/- ndani ya miezi mitatu

· Ni kupitia Sekta ya Madini Kagera · Waita wawekezaji ndani na nje MAKUSANYO ya maduhuli ya Serikali kupitia Sekta ya Madini katika Mkoa wa Kagera yatokanayo na mrabaha, tozo na ada mbalimbali kwa mwaka wa fedha ulioanza Julai 2024/…

Bunge la Ujerumani kupitisha kuzuia kikomo cha ukopaji

Bunge la Ujerumani linalomaliza muda wake linatarajiwa kupitisha mpango mkubwa wa kuzuia ukomo wa serikali kukopa ambao umewasilishwa na vyama vitatu vya CDU/CSU na SPD vinavyotarajiwa kuunda serikali mpya ya mseto. Friedrich Merz anayetazamiwa kuwa Kansela ajaye wa Ujerumani anaupigia…

Putin akataa kusitisha vita, akubali kusitisha mashambulizi ya nishati Ukraine

Rais Vladimir Putin amekataa usitishaji vita wa mara moja na kamili nchini Ukraine, akikubali tu kusitisha mashambulizi kwenye miundombinu ya nishati, kufuatia mazungumzo yake na Rais wa Marekani Donald Trump. Kiongozi huyo wa Urusi alikataa kutia saini usitishaji vita wa…

Wanaanga waliokwama angani kwa miezi tisa warejea duniani

Baada ya miezi tisa angani, wanaanga wa Nasa Butch Wilmore na Suni Williams hatimaye wamerejea duniani. Chombo chao cha angani cha kampuni ya SpaceX kilitua kwa kasi kupitia angahewa ya Dunia, kabla ya miamvuli minne kufunguliwa ili kuwapeleka kwenye pwani…