Latest Posts
Serikali yakaribisha wawekezaji kwenye sekta ya tiba ya afya ya kinywa na meno
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Serikali imetoa wito kwa wawekezaji wa ndani na nje ya nchi kuwekeza kwenye ujenzi wa viwanda vya kutengeneza vifaa tiba na dawa kwa ajili ya matibabu ya maradhi ya afya ya kinywa na meno,…
Idadi ya waliokufa kwa mafuriko Nigeria yafikia 151
Zoezi kubwa la uokoaji linaendelea nchini Nigeria kuwatafuta watu kwenye maeneo yaliyokumbwa na mafuriko ya kutisha ambayo hadi sasa yamesababisha vifo vya watu 151. Hayo yameelezwa na Rais wa nchi hiyo Bola Tinubu ambaye pia ametahadharisha kuwa idadi ya vifo…
CCM inavyoelekea kwenye Uchaguzi Mkuu ikiwa na mtaji mkubwa wa wapigakura
Na Dk. Reubeni Lumbagala, Tanga Kwa mwaka huu wa 2025, moja ya tukio kubwa kabisa katika kalenda ya nchi yetu ni uwepo wa Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba, 2025. Hili ni tukio la kidemokrasia na la kikatiba ambapo Watanzania…





