JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Global Education Link yasaini makubaliano na Chuo Kikuu Mzumbe

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam CHUO Kikuu cha Mzumbe cha mkoani Morogoro na Wakala wa Elimu Nje ya Nchi (Global Education Link), wamesaini Mkataba wa Ushirikiano (MoU) kwa lengo la kuimarisha upatikanaji wa fursa za elimu nje ya…

RC Kilimanjaro azitaka NGOs kuwajibika

Na WMJJWM- Kilimanjaro Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Nurdin Babu amewataka Mashirika Yasiyo ya Kiserikali mkoani humo kuwajibika kwa jamii kwa kuhakikisha mipango yao inasaidia kutatua changamoto zilizopo katika jamii. Mhe. Babu ameyasema hayo Juni 24, 2025 wakati akifungua…

Sekta ya nishati yachangia asilimia 14.4 ya pato taifa

📌Kapinga ampongeza Rais, Dkt. Samia kwa uwekezaji mkubwa katika Sekta ya Nishati 📌 Aeleza mafanikio yaliyofikiwa katika Umeme, Gesi Asilia na Mafuta 📌 Asisitiza kuwa Nishati ni moyo wa uchumi Naibu Waziri Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema Sekta ya Nishati…

Serikali yazidi kuhamasisha nishati safi yatoa mitungi 225 kwa watumishi Gereza Kuu Maweni

📌Shilingi bilioni 35 kupeleka nishati safi magereza yote nchini 📌Mitungi ya gesi 653 kupatiwa watumishi magereza Tanga 📌Mha. Saidy asisitiza uhamasishaji wa matumizi ya nishati safi Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imeendelea kuwezesha, kuhamasisha na kutoa elimu kuhusu…

Serikali yadhamiria kukuza kilimo cha umwagiliaji nchini yawekeza trilioni 1.2/-

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Iringa Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imetoa trilioni 1.2 kwa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) kwa kwa lengo la kubiresha miradi ya umwagiliaji nchini. Hayo yamebainishwa leo Juni 24,…

Tume yasisitiza ufanisi uboreshaji wa daftari magereza na vyuo vya mafunzo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Watendaji wa uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwenye Magereza kwa Tanzania Bara na Vyuo vya Mafunzo kwa Tanzania Zanzibar wametakiwa kuzingatia mafunzo waliyopatiwa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) ili…