Latest Posts
TFS yapewa pongezi kwa kusaidia upandaji miti sekondari ya Nyambili–Nyambunda
Na Mwandishi Wetu, Kibiti Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Bungu, Mhe. Ramadhan Mpendu, ameongoza zoezi la upandaji miti katika Shule ya Sekondari Nyambili–Nyambunda jana, ikiwa ni sehemu ya kampeni endelevu ya…
Mbeto: Haki ya wananchi kushiriki uchaguzi isiporwe na vyama vya siasa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesifu kupevuka kwa maono ya kisiasa yalioonyeshwa na Kiongozi wa ACT Wazalendo, Dorothy Semu ,aliyeitangazia dunia chama chake kitashiriki uchaguzi Mkuu oktoba mwaka huu bila longolongo. Pia CCM kimebaini kuwepo tofauti…
Serikaki kutumia trilioni 1.18 ujenzi wa miundombinu ya barabara za wilaya
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Katika mwaka wa fedha 2025/26, Ofisi ya Rais – TAMISEMI kupitia Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini TARURA imepanga kutumia shilingi trilioni 1.18 kwa ajili ya ujenzi, matengenezo, ukarabati wa miundombinu ya barabara na usafiri…
REA kusambaza mitungi ya gesi zaidi ya 22,000 Pwani
📌Kila wilaya kunufaika mitungi ya gesi 3,255 Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umeitambulisha kampuni ya Manjis Gas ambayo imepewa jukumu la kusambaza mitungi ya gesi 22,785 itakayouzwa kwa bei ya ruzuku ya asilimia 50 katika Mkoa wa Pwani. Hayo yamebainishwa…
WTO latabiri kuporomoka kwa biashara duniani
SHIRIKA la biashara duniani,WTO limesema biashara ya bidhaa ulimwenguni, inatarajiwa kushuka kati ya asilimia 0.2 na 1.5 mwaka huu Shirika hilo limesema utabiri huo utategemea namna ushuru uliowekwa na rais Donald Trump utakavyosababisha athari. WTO imetahadharisha kwamba hali ya wasiwasi…
‘Harvard inaweza kupoteza uwezo wa kusajili wanafunzi wa kigeni’
Wizara ya Usalama wa Ndani ya Marekani ilisema Chuo Kikuu cha Harvard kitapoteza uwezo wa kusajili wanafunzi wa kigeni ikiwa haitakubali kutimiza matakwa ya serikali ya Trump kushirikisha taarifa za baadhi ya wamiliki wa visa, kuashiria kuongezeka kwa mtafaruku kati…