JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Marekani yasifu operesheni yake nchini Iran

Marekani imesifu operesheni yake nchini Iran na kusema inaelekea kumuangamiza adui hata kabla ya wakati huku ikisisitiza kuwa uwezo wa mashambulizi wa Iran umepungua maradufu ukilinganisha na siku ya kwanza ya vita. Kamanda mkuu wa Jeshi la Marekani Brad Cooper,…

Wanawake wazidi kung’ara sekta ya madini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma WAKATI dunia ikijiandaa kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani ifikapo Machi 8, 2026 , wanawake nchini Tanzania wameendelea kuandika historia mpya katika sekta ya madini wakivunja vikwazo vilivyodumu kwa miaka mingi. Hayo, yamejidhihirisha kwa Asha Jama…

Magari ya umeme nafuu kwa asilimia 85 ukilinganisha na ya mafuta

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba amesema utafiti unaonesha kuwa kuendesha gari la umeme nchini ni nafuu kwa takribani asilimia 85 kwa kila kilomita ikilinganishwa na gari linalotumia petroli au dizeli….

Tanzania, India kuendelea kuimarisha ushirikiano

Tanzania na India zimeendelea kusisitiza umuhimu wa kuimarisha ushirikiano wa kihistoria na kindugu kuliopo baina ya mataifa hayo mawili. Hayo yamejadiliwa katika mazungumzo kati ya Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Ngwaru Maghembe…

Wanawake watakiwa kuchangamkia fursa za uchumi na kulinda haki za watoto wenye ulemavu

…………………………………………………………………. Na Jackline Minja, WMJJWM, Mbeya Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi amesema Serikali itaendelea kusimamia haki za wanawake na wasichana pamoja na kuwawezesha kiuchumi ili kuhakikisha wanashiriki kikamilifu katika maendeleo ya…

Kabudi akutana na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola London, wajadili ushirikiano na demokrasia

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalum), Prof. Palamagamba Kabudi, amefanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola, Mhe. Shirley Botchwey, yaliyolenga kuimarisha ushirikiano katika masuala ya utawala bora, demokrasia na maendeleo ya pamoja. Katika mazungumzo hayo, pamoja…