Latest Posts
Kliniki ya sheria bila malipo yazinduliwa Kilimanjaro
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilimanjaro MKOA wa Kilimanjaro umeingia kwenye ukurasa mpya wa upatikanaji wa haki kwa uzinduzi rasmi wa Kliniki ya Sheria bila malipo, uliofanywa na Mkuu wa Mkoa, Nurdin Babu. Hafla hiyo ilifanyika leo Januari 21, 2025 katika…
Gethsemane group Kinondoni yaipua wimbo wa Ni siku yetu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KWAYA ya Gethsemane Group Kinondoni (GGK) SDA ya jijini Dar es Salaam imeipua wimbo wake mpya maalumu kwa ajili ya Harusi ujulikanao kama Ni Siku Yetu. Wimbo huo umetolewa mwishoni mwa wiki iliyopita…
Waziri Kombo awakaribisha wafanyabiashara wa Czech
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo amewakaribisha wafanyabiashara wa Czech kuangalia fursa za uwekezaji nchini Tanzania katika sekta za utalii uchukuzi, afya, TEHAMA, nishati, madini na elimu. Waziri Kombo alitoa mwaliko huo…
Dk Biteko ataka mitaala vyuoni iendane na mabadiliko ya teknolojia
📌Azindua dira ya miaka 50 ya CBE (2025 – 2075) 📌Asisitiza matumizi ya teknolojia za kisasa, zinazojibu changamoto za jamii 📌Taasisi za elimu ya juu zatakiwa kuweka mkazo mafunzo ya ujasiriamali Vyuo na taasisi zinazotoa elimu ngazi ya Kati ikiwemo…
‘Filamu ya Royal Tour imeongeza watalii asilimia 183’
Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla amesema filamu ya The Tanzania Royal Tour imechangia sekta ya utalii kuchangia pato la taifa kwa asilimia 30 huku watalii wakiongezeka kwa asilimia 183. Abdulla aliyasema hayo…





