Latest Posts
Serikali: Faida itokanayo na uwekezaji ifikie zaidi ya asilimia 10
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pwani SERIKALI inataka faida itokanayo na uwekezaji ‘return on investment’ katika kampuni ambazo serikali inaumiliki wa hisa chache kuongezeka kutoka asilimia saba ya sasa hadi kufikia zaidi ya 10 mwaka ujao wa fedha. Dhamira hiyo ilielezwa…
MOI yaandika historia kwa kuanza kufanya upasuaji wa ubongo kwa kutumia akili unde
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es salaam Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI), imeanza rasmi upasuaji wa ubongo kwa kutumia teknolojia ya akili unde ‘Brain Lab- Neuro Navigation System’ ambayo husaidia wataalam kufanya upasuaji wa uvimbe kwenye…
Taifa limempoteza msomi mmoja, Balozi Juma Volter Mwapachu
Taifa limepoteza mmoja wa wasomi, wanadiplomasia, na wanasiasa waliobeba mzigo wa matumaini ya Afrika Mashariki kwa mabega mawili bila kulalamika. Balozi Juma Volter Mwapachu, aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa,…
Dk Mpango azindua matawi mawili ya NMB Chanika, Kinyerezi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAKAMU wa Rais, Dk. Philip Isdor Mpango, amefungua matawi mawili mapya ya Benki ya NMB Chanika na Kinyerezi, yanayofanya mtandao wa matawi ya benki hiyo nchini kufikia 241, huku akiipongeza benki hiyo kwa…
Makonda aonya watakaopuuza msaada wa kisheria kukamatwa
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda ameonya kuwa mwananchi yoyote atakayekaidi kupata suluhisho kupitia msaada wa kisheria wa Mama Samia atakamatwa na Jeshi la Polisi na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kwa yule atakayetoa rushwa ili…





