JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tume yatoa neno kwa waendesha vifaa vya BVR Tanga, Pwani

Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia, Tanga Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imewataka waandishi wasaidizi na waendesha vifaa vya Bayometrikikutoa huduma bora kwa wananchi watakaojitokeza katika zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura linalotaraji kuanza Februari 13 hadi…

Wahandisi nchini watakiwa kufanyakazi kwa kuzingatia maadili

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAHANDISI nchini wametakiwa kufanya kazi kwa kuzingatia maadili, nidhamu na uwajibikaji kazini. Wito huo umetolewa leo Februari 11, 2025 na Msajili wa Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB), Mhandisi Bernard Kavishe wakati wa…

Tanzania kinara duniani matumizi ya TEHAMA serikalini

Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia, Arusha Nchi ya Tanzania imefanikiwa kupanda daraja kutoka kundi B hadi kundi A na kushika nafasi ya 26 duniani, nafasi ya pili barani Afrika baada ya Mauritius na nafasi ya kwanza Afrika Mashariki kwenye ukomavu wa…

‘Zanzibar imenufaika na ufadhili wa mashirika ya kimataifa katika miradi ya umwagiliaji’

Na. Josephine Majura WF-Dodoma Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), amesema kuwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imenufaika na ufadhili wa mashirika ya kimataifa katika miradi ya umwagiliaji inayolenga kuongeza uzalishaji wa kilimo na kuboresha maisha ya…

Mapambano dhidi ya biashara haramu ya maliasili yazidi kuimarishwa

Wizara ya Maliasili na Utalii inaendelea na jitihada za kuongeza na kuwajengea uwezo watumishi wake wakiwemo wachunguzi na waendesha mashitaka ili kuongeza ufanisi katika usimamizi na kuendeleza maliasili nchini kwa faida ya kizazi cha sasa na kinachokuja. Hayo yamesemwa Jijini…

Sangu: Baadhi ya mamlaka za nidhamu hazizingatii sheria

Na Mwandishi Wetu NAIBU Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora ,Deus Sangu amesema baadhi ya mamlaka za nidhamu hazizingatii sheria ,kanuni na taratibu za utumishi wa umma katika ushughulikiaji mashauri ya kinidhamu na…