JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

PDPC yawataka mabloga kulinda faragha ya wagombea wakati kampeni za uchaguzi 2025

Na Magrethy Katengu,Jamhuri Media , Dar es Salaam. Waandishi wa habari na mabloga wametakiwa kuelimisha jamii kuhusu sheria ya ulinzi wa taarifa binafsi, ili kuzuia uvunjifu wa faragha na kuepusha madhara ya kisheria. Wito huo umetolewa Dar es Salaam Agosti…

Mwaijojele achukua fomu ya urais kupitia CCK, atilia mkazo maisha bora kwa wastaafu

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Kijamii (CCK)David Daud Mwaijojele, amechukua rasmi fomu ya kugombea nafasi hiyo leo Agosti 12, 2025, katika makao makuu ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) jijini Dodoma, kujiandaa kuwania…

Rais Samia umeandika historia, jipe moyo

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan wiki iliyopita ameweka historia nyingine na kuanza safari ya historia ya kudumu kuelekea kupatikana kwa Rais wa Tanzania mwanamke aliyechaguliwa. Agosti 9,…

Takriban watu 55 wauawa na vikosi vya Israel huko Gaza

TAKRIBAN watu 55 wakiwemo watoto wameuawa usiku wa kuamkia Jumanne na vikosi vya Israel katika Ukanda wa Gaza. Miongoni mwa waliouawa walikuwemo watu 15 waliokuwa wakisubiri msaada wa kibinaadamu katika kivuko cha Zikim kaskazini mwa Gaza. Wizara ya Afya ya…

Mawaziri wa Umoja wa Ulaya waiunga mkono Ukraine

Mawaziri wa mambo ya nje wa Umoja wa Ulaya wamefanya mkutano kwa njia ya video na kutangaza kuiunga mkono Ukraine kabla ya mkutano kati ya rais wa Marekani Donald Trump na mwenzake wa Urusi Vladimir Putin huko Alaska. Kauli mbiu…

Wizara ya Ardhi yaendesha klinik maalkum kuongeza kasi ya umilikishaji

Na Mwandishi Wetu Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeanzisha Klinik Maalum ya Ardhi kwa ajili ya kuongeza kasi ya umilikishaji ardhi katika maeneo ambayo mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milki (LTIP) umetekelezwa. Hatua hiyo ya Wizara ya…