JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

SIKU YA HALI YA HEWA DUNIANI; Huduma bora za TMA zaing’arisha Tanzania kimataifa

Na Stella Aron, JamhuriMedia, Dar es Salaam Taarifa sahihi na za wakati za hali ya hewa ni nyenzo muhimu katika kufanya maamuzi ya kimkakati na kufanikisha maendeleo endelevu ya nchi yetu. Kwa kutambua umuhimu huo mkubwa katika sekta mbalimbali kama…

Tanzania yaadhimisha Siku ya Ukombozi wa Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC)

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar es Salaam Tanzania imeendelea kusisitiza umuhimu wa wananchi wake, hususan vijana, kutambua na kujivunia historia ya taifa pamoja na mchango wake katika ukombozi wa nchi za Kusini mwa Afrika. Wito huo umetolewa wakati wa maadhimisho ya…

Dk Yonazi akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji mpya wa TACAIDS Dk MRISHO

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dodoma Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu Dkt. Jim Yonazi amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) Dkt. Adam Joseph…

Ndejembi ataka EWURA kukagua maghala ya mafuta kuhakikisha hakuna mafuta yanayofichwa

📌Asema nchi ina usalama mkubwa wa mafuta hivyo wananchi waendelee kupata huduma muda wote 📌Timu maalum kuundwa kufuatilia uingizaji wa mafuta nchini Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi ameitaka Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kuhakikisha…

Wizara Maji na matumizi ya teknolojia katika utatuzi wa changamoto

Na Dk. Reubeni Lumbagala, JamhuriMedia, Tanga Wiki ya Maji Kitaifa nchini Tanzania na Siku ya Maji Duniani imemalizika Machi 22, 2026. Imekuwa ni wiki nzuri kwani mijadala mbalimbali yenye tija kuhusiana na sekta ya maji imefanyika kwa mafanikio makubwa. Kutokana…

Serikali inaboresha miundombinu ili mtoto apate haki yake ya elimu bora – Prof. Shemdoe

Na OWM – TAMISEMI, Lushoto Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amesema Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI inaendelea kusimamia uboreshwaji wa miundombinu ya elimu nchini, ili kuhakikisha kila mtoto wa Kitanzania…