JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mawakili wasisitizwa kuishauri Serikali kwa weledi

📌Dkt. Biteko asema Serikali inatambua jitihada za Asasi za Kiraia kuhudumia Wananchi 📌Rais Samia apongezwa kwa mageuzi katika huduma za sheria nchini 📌Wawakili wahimizwa kuwa ‘marafiki’wa Mungu badala ya Mahakama 📌Dkt. Biteko ataja mikakati ya Serikali kuboresha huduma za sheria…

TAMWA, TCRA kutoa tuzo za wanahabari za ‘Samia Kalamu Award’

Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inatarajia kutoa tuzo za wanahabari zinazofahamika kama ‘Samia Kalamu Award’ zinazolenga kuhamasisha uandishi wa habari za maendeleo unaojikita katika kufanya uchambuzi wa utafiti wa…

WHO: Mazingira ya hospitali za Gaza ni duni na hayaelezeki

Shirika la Afya Duniani (WHO) limeeleza kuwa mazingira ndani ya hospitali ya Gaza ni ya kutamausha baada ya taasisi hiyo kushambuliwa kwa makombora na Israel. Msemaji wa WHO Dkt. Margaret Harris ameiambia BBC kuwa ukanda wa Gaza unashuhudia mashambulizi mara…

Trump: Iran inatufanyia mchezo kuafikiana kuhusu Nyuklia

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema kuwa anaamini Iran inachelewesha kwa makusudi kufikiwa kwa makubaliano ya nyuklia, akionya kuwa hatua hiyo inaweza kuigharimu nchi hiyo kwa kiasi kikubwa, ikiwemo uwezekano wa kushambuliwa kijeshi. Akizungumza na waandishi wa habari nchini Oman…

Urusi : Sio rahisi kufikia amani Ukraine na Marekani

Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi Sergei Lavrov amesema kuwa sio rahisi kufikia makubaliano na Marekani kuhusu vipengele muhimu vya makubaliano ya amani yanayoweza kusitisha vita nchini Ukraine. Rais wa Marekani Donald Trump, ambaye anasema anataka kukumbukwa kama mleta…