Latest Posts
Gavana Tutuba: Rejesheni mikopo kwa wakati, wengine wanufaike
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emanuel Tutuba ametoa wito kwa Wafanyabiashara na wananchi wanaopata fursa ya mikopo ya serikali waweze kurejesha ili wengine nao waweze kukopa. Wito huo ameutoa leo Januari…
NMB yavunja rekodi ya ufanisi kwa matokeo ya kihistoria mwaka 2024
Matokeo haya mazuri ya kifedha yamechagizwa na utekelezaji makinii wa mkakati wa benki na uwekezaji endelevu katika kutumia uwezo wa teknolojia za kidijitali: Benki ya NMB iliendeleza kasi ya ukuaji, ikipata matokeo ya kipekee ya kifedha na kiutendaji, yaliyochochewa na…
Serikali yachukua hatua kulinda mazingira ya bahari
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhandisi Yusuf Masauni amesema Serikali ya Tanzania imechukua hatua za kuimarisha maeneo ya bahari yaliyohifadhiwa. Amesema hatua hizo zimesaidia kukuza usimamizi endelevu wa uvuvi na kuongeza uwezo wa kuzuia…
Shambulio la droni la Urusi laua tisa mashariki mwa Ukraine
Shambulizi la droni la Urusi lililolenga jumba la makazi katika mji wa Sumy, mashariki mwa Ukraine, limesababisha vifo vya watu tisa. Rais Volodymyr Zelensky amelielezea shambulizi hilo kama janga kubwa la uhalifu wa Urusi, akisisitiza umuhimu wa dunia kuongeza shinikizo…
Ebola yathibitishwa Uganda, muuguzi afariki Kampala
Muunguzi mwenye umri wa miaka 32 alifariki katika mji mkuu wa Uganda, Kampala, kutokana na ugonjwa wa Ebola, Wizara ya Afya ya nchi hiyo ilithibitisha siku ya Alhamisi Wizara ya Afya ya Uganda imethibitisha Alhamisi mlipuko wa ugonjwa wa Virusi vya…





