Latest Posts
Wanne wafikishwa mahakamani kwa tuhuma za wizi wa kopa za milioni 300 mali ya SGR
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMediaPwani Watu wanne akiwemo Meneja wa Kampuni ya GBL Group, Abdul Huot (56) wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Mkuranga wakikabiliwa na tuhuma za wizi wa mali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambazo ni kopa zenye…
Vifo vya ajali vyafikia 15 Morogoro
Idadi vifo vilivyotokana na ajali iliyohusisha gari ndogo ya abiria aina ya Coaster iliyokuwa ikitokea mkoani Morogoro kuelekea Jijini Dar -es Salaam kugongana uso kwa uso na gari kubwa la mizigo lililokuwa likitokea Jijini Dar es Salaam kuelekea mkoani Morogoro…
Watu 25 wafariki baada ya boti kuzama mtoni DR Congo
Zaidi ya watu 25 wamepoteza maisha baada ya boti yenye abiria zaidi ya 100 kuzama katika mto Fimi, katika jimbo la Mai-Ndombe, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Ajali hiyo inatajwa kuwa miongoni mwa matukio ya aina yake kutokea ndani ya…
Msigwa: Vyombo vya habari 1,200 vimesajiliwa nchini
KATIBU Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema vyombo vya habari zaidi ya 1200 vimesajiliwa na kuajiri makundi mbalimbali ya watu wakiwemo watangazaji na mafundi mitambo Msigwa amesema hayo leo Desemba 18,…
NIDA yapewa miezi miwili kusambaza vitambulisho 1.2 vilivyotengenezwa
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa ametoa miezi kwa miwili Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) kuhakikisha vitambulisho milioni moja na laki mbili ambavyo tayari vimeshatengenezwa vinasambazwa na kuwafikia Wananchi walengwa. Waziri Bashungwa amesema hayo leo Disemba…





