JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tutazuia mazao ya Afrika Kusini, Malawi – Serikali

Serikali imesema inawasiliana kwa mara ya mwisho na serikali za Afrika Kusini na Malawi ziruhusu mazao ya Tanzania yaingie katika nchi hizo. Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe kupitia akaunti yake katika mtandao wa kijamii wa X ameeleza wamepokea taarifa kuwa…

Dk Biteko ashiriki mkutano wa EAPP nchino Uganda

๐Ÿ“Œ Tanzania yapongezwa kwa kuandaa Mkutano wa M300 ๐Ÿ“Œ WB, AFDB kuunga mkono EAPP ๐Ÿ“ŒMawaziri wa Nishati Mashariki Mwa Afrika wakutana Uganda Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt….

Madiwani Kibondo waridhia utekelezaji mradi wa umwagiliaji Lumpungu

Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia, Kigoma Baraza la Madiwani Wilayani Kibondo Mkoani Kigoma limepitisha utiaji saini mkataba wa utekeleza, ujenzi, uendeshaji na usimamizi wa mradi wa Umwagiliaji Lumpungu wenye thamani ya zaidi ya sh. Bilioni 150 unaolenga kuongeza tija ya uzalishaji…

Polisi yapiga ‘stop’ mikusanyiko Kisutu Lissu atakapofikishwa mahakamani

Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limepiga marufuku mikusanyiko ya wananchi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Aprili 24, 2025, wakati Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, atakapofikishwa kwa ajili ya…

Wasira ampa majibu mfuasi CHADEMA aliyeomba CCM, Serikali imsamehe Lissu

*Amwambia chama, Rais Samia wanaamini katika maridhiano, kutii sheria *Asisitiza CCM haina visasi wala chuki na yeyote *Amwambia Lissu anatuhumiwa kuikosea Jamhuri sio CCM, hivyo watamalizana mahakamani Na Mwandishi Wetu MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Stephen Wasira amewahakikishia…

Tanzania yachangia bil.1.6/- kongamano la eLearning Africa

Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ameongoza harambee maalum ya wadau wa elimu nchini kuchangia Kongamano la eLearning Africa, ambapo zaidi ya Shilingi Bilioni 1.6 zimepatikana. Akizungumza katika hafla hiyo iliyofanyika jijini Dar es Saalaam kwa niaba ya Naibu Waziri Mkuu,…