Latest Posts
Wanafunzi watatu, dereva wafa katika ajali
Wanafunzi watatu na dereva mmoja wamefariki dunia katika ajali iliyohusisha magari mawili likiwemo gari aina ya ‘Coaster’ na gari la mizigo aina ya Scania kugongana uso kwa uso alfajiri ya leo katika kijiji cha Gajal kilichopo wilayani Babati mkoani Manyara. Kamanda…
Samia ashiriki mashindano ya Qur’an
Rais Samia Suluhu Hassan ameshiriki Mashindano ya Kimataifa ya Qur’an yaliyofanyika leo uwanja wa Mkapa jijini Dar es Salaam. Tukio hili muhimu limeakisi dhamira ya Rais Samia ya kuendeleza umoja wa kitaifa na kudumisha amani nchini. Katika hotuba yake, Rais…
Rais Samia kuongoza ujumbe wa Tanzania mkutano wa FOCAC nchini China
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuongoza Ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa Kilele wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jukwaa la Ushirikiano kati ya China…
Waomba uundaji sera ushirikishe jamii
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Morogoro Wadau mbalimbali wa uhifadhi wameitaka serikali, kuongeza msukumo wakushirikisha jamii wakati wa mchakato wa uundaji sera mbalimbali. Rai hiyo imetolewa na wadau mbalimbali wa uhifadhi ,walipokuwa kwenye mafunzo juu ya umuhimu wa jamii kujua haki…
Mko wapi viongozi wa dini, mbona mpo kimya watu wanapotea – Lema
Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media,Arusha Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Kaskazini Godbless Lema amesema anasikitika kuona viongozi wa dini kuwa kimya huku vitendo vya utekaji vikiendelea nchini. Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Arusha,…
Bei ya umeme Tanzania ni nafuu kuliko nchi nyingine za Afrika Mashariki – Kapinga
📌 Ni kutokana na Serikali kuweka ruzuku katika kila uniti 📌 Aelezea ruzuku inayotolewa na Serikali kufikisha umeme visiwani Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema gharama ya kununua umeme nchini ipo chini ukilinganisha na Nchi nyingine za Afrika…