Latest Posts
Wenje: Dk Silaa alitaka CHADEMA ifutwe
Na Isri Mohamed, JammhuriMedia, Dar es Salaam Mgombea wa nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Ezekia Wenje ameonesha kusikitishwa na kauli zilizotolewa na Godbless Lema akimtaka Lissu kumteua Dkt Silaa kuwa mjumbe wa kamati kuu wa Chadema, mara tu atakaposhinda…
Biden atoa hotuba ya kuaga na kuhofia utawala ujao wa Trump
Rais wa Marekani Joe Biden anayetarajia kukabidhi madaraka kwa rais mteule Donald Trump Januari 20, ametoa Jumatano jioni hotuba ya kuaga na kuelezea wasiwasi wake kwa utawala ujao. Katika hotuba hiyo, Biden amesema Marekani inaangukia mikononi mwa matajiri wachache ambao…
NEMC Kanda ya Kaskazini yaeleza mikakati na mafanikio yake
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) Kanda ya Kaskazini limesema limefanisha miradi yote mikubwa kama barabara, viwanda na migodi kuwa na cheti cha Tathmini ya Athari kwa Mazingira (EIA)….
Makubaliano ya kusitisha mapigano Gaza yapongezwa kimataifa
Viongozi mbalimbali wa dunia wapongeza makubaliano ya kusitisha mapigano Gaza na kuachiliwa kwa mateka ambayo yataanza kutekelezwa rasmi Jumapili mchana. Rais wa Misri Abdel Fattah al-Sisi, ametoa wito wa kuwasilishwa kwa msaada wa haraka wa kibinadamu katika Ukanda wa Gaza,…
Wizara ya Nishati yawasilisha utekelezaji wa bajeti 2024/25 katika Kamati ya Kudumu ya Bunge
📌 Maeneo ya kipaumbele yaliyotekelezwa kwa mwaka 2024/2025 yaelezwa 📌 Ni pamoja na hali ya uzalishaji na upatikanaji wa Nishati ya Umeme nchini Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Judith Kapinga (Mb) ameongoza Menejimenti ya Wizara ya Nishati kuwasilisha taarifa utekelezaji…





