JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mashirika ya ndege yasitisha safari za Haiti baada ya ndege kupigwa risasi

Mashirika kadhaa ya ndege yamesitisha safari za kuelekea Haiti baada ya ndege ya abiria kutoka Marekani kupigwa risasi ilipokuwa ikijaribu kutua Port-au-Prince. Ndege ya Spirit Airlines 951 kutoka Fort Lauderdale huko Florida ilielekezwa katika nchi jirani ya Jamhuri ya Dominika,…

Mwandishi wa habari katika jela ya Eritrea kwa miaka 23 ashinda tuzo ya haki za binadamu

Mwandishi wa habari aliyefungwa katika jela ya Eritrea kwa miaka 23 bila kushtakiwa ameshinda tuzo ya haki za binadamu ya Sweden kwa kujitolea kwake kwa uhuru wa kujieleza. Dawit Isaak, ambaye ana uraia wa Eritrea na Sweden, alipewa Tuzo ya…

CCM: Tunawaomba wagombea wetu waliokatwa kuwa wavumilivu

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC), Itikadi Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla, amewaomba wanachama katika maeneo ambayo wagombea wa CCM wamewekewa mapingamizi, kuwa watulivu kwani chama kinaamini haki itatendeka kwa vyama vyote. CPA Makalla aliyasema hayo…

Machafuko ya kisiasa yaripotiwa kuelekea uchaguzi wa wabunge Senegal

Nchini Senegal, kuelekea uchaguzi wa wabunge siku ya Jumapili, muungano wa mashirika 46 ya kiraia unaonya kuwepo kwa ongezeko la machafuko ya kisiasa katika kipindi hiki cha kampeni.. Mashirika ya kiraia yanayofuatilia mwenendo wa kampeni hizo katika maeneo mbalimbali ya…

Moalin aikimbia KMC

Na Isri Mohamed Kocha Mkuu wa Klabu ya KMC, Abdihamid Moalin Amewaaga rasmi wachezaji wake baada ya mazoezi ya jana na kuwaweka wazi kuwa hatakuwa sehemu ya walimu wao tena. Moalin ambaye ameifundisha KMC kwa misimu miwili kwa mafanikio makubwa,…

Mali zilizotokana na dawa za kulevya zataifishwa Zanzibar

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Zaidi ya sh. 900,000,000 zimetaifishwa na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Zanzibar na kuwa mali ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kutokana na kupatikana kwa njia ya haramu. Akitoa taarifa kwa…