Latest Posts
Balozi Nchimbi aanza kampeni Mara
Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi ametembelea nyumbani kwa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, kijijini Mwitongo,Butiama na kuzuru kaburi la mwasisi huyo wa Tanzania na CCM. Dkt.Nchimbi ameingia mkoani…
Utunzaji sahihi wa nyaraka na kumbukumbu ni msingi wa taifa imara – Majaliwa
UTUNZAJI sahihi wa nyaraka na kumbukumbu ni uti wa mgongo wa uwajibikaji, historia, na utawala bora kwani bila masjala madhubuti, Taifa letu lingeweza kukabiliwa na changamoto kubwa za upotevu wa taarifa, ucheleweshaji wa maamuzi, na hatimaye kurudisha nyuma juhudi za…
Majaji, mahakimu tuna wajibu wa kudumisha amani : Jaji Mkuu
Na Mary Gwera , Mahakama-Dodoma Mahakama ya Tanzania ina nafasi kubwa ya kuhakikisha kuwa, nchi inakuwa katika hali ya amani na utulivu kwa kusimamia ipasavyo jukumu la utoaji haki kwa kuzingatia Katiba na Sheria za nchi. Hayo yalielezwa jana tarehe…
Waajiriwa wapya NIRC wasema wana deni kwa Rais Samia, Tume yawataka kuchapa kazi
📍 NIRC – Dodoma WATUMISHI wapya wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji, (NIRC), wamemshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuwaamini na kuwapa nafasi nyingi vijana katika ajira za hivi karibuni. Pia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), imewataka waajiriwa…
CAG afurahishwa na makumbusho ya Ngorongoro Lengai UNESCO Geopark
Na Mwandishi Wetu, Karatu Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Charles Kichere, amefanya ziara maalum kwenye jengo la Makumbusho ya Ngorongoro Lengai UNESCO Global Geopark pamoja na kupanda mti wa kumbukumbu kwenye eneo la makumbusho hayo. CAG Kichere…
Pingamizi dhidi ya uteuzi wa mgombea ubunge ACT-Wazalendo latupwa
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kupitia Ofisi ya Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Meatu imetupilia mbali pingamizi dhidi ya mgombea ubunge wa ACT-Wazalendo, Bi. Rosemary Kasimbi Kirigini. Pingamizi hilo liliwasilishwa na mgombea ubunge wa jimbo hilo kwa tiketi CCM,…