JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Bangi, skanka na mdpv mtegoni 2024; lukuvi asema mavazi , nyimbo za kiharamu kudhibitiwa

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imesema imepiga hatua katika mapambano dhidi ya dawa za kulevya nchini kwa mwaka 2024, huku ikitoa onyo kali kwa wasanii wanaotumia majukwaa yao kuhamasisha matumizi ya mihadarati kupitia maudhui ya nyimbo na mitindo ya…

Mpango wa kijiolojia Afrika na Ulaya kuzinduliwa Juni 24 jijini Dar es Salaam

Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mpango wa jiolojia PanAfGeo unaofadhiliwa na Umoja wa Ulaya, unatarajiwa kuzinduliwa rasmi jijini Dar es Salaam, Tanzania Juni 24 mwaka huu 2025. Tukio hili muhimu linafuatia miaka minane ya utekelezaji na awamu mbili…

Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini ahimiza ubunifu, weledi kwa watumishi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, KATIBU Mtendaji wa Tume ya Madini, Mhandisi Ramadhani Lwamo, na Mkurugenzi wa Rasilimaliwatu na Utawala, Nsajigwa Kabigi, wametembelea banda la Tume ya Madini katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayohitimishwa leo katika viwanja vya…

Urusi imetekeleza wimbi jipya la mashambulizi Kyiv

Mamlaka za Ukraine zimesema mapema leo kuwa Urusi imetekeleza wimbi jipya la mashambulizi ya droni na kuulenga mji mkuu Kyiv. Tymur Tkachenko, mkuu wa utawala wa kijeshi wa Kyiv amesema watu kadhaa wamejeruhiwa kufuatia mashambulizi hayo. Hayo yanajiri baada ya…

Mashambulizi ya Marekani huko Iran yazua taharuki duniani

Mashambulizi ya Marekani kwa vinu vya nyuklia vya Iran yamezusha taharuki ulimwenguni huku mataifa mbalimbali yakiwa na misimamo tofauti. Ujerumani kupitia Waziri wake wa Ulinzi Boris Pistorius imesema kuwa mashambulizi hayo ni “habari njema” kwa Mashariki ya Kati na Ulaya,…

Shambulio la kujitoa mhanga laua 22 kanisani Damascus

Takriban watu 22 wameuawa na wengine 63 kujeruhiwa katika shambulio la bomu la kujitoa muhanga katika kanisa moja mjini Damascus, wizara ya afya ya Syria imesema. Mwanamume mmoja alifyatua risasi kwa kutumia silaha katika Kanisa la Kiorthodoksi la Ugiriki la…