JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

TMA yanyakua kombe maonesho ya Nanenane 2025

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imenyakua kombe kupitia maonesho ya Nane Nane 2025 yaliyofanyika katika Mkoa wa Morogoro. Ushindani wa TMA kupitia kundi la ushindani lililohusisha taasis za Serikali upande wa Mawakala na Mamlaka za Serikali nchini, umeifanya…

Watoto wawili wafariki kwa kupigwa na radi

Watoto wawili wamefariki dunia na bibi yao kujeruhiwa baada ya kupigwa na radi kufuatia mvua iliyoambatana na upepo mkali na radi iliyonyesha jana katika Wilaya ya Ilemela, jijini Mwanza. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi Mkoa wa…

Tanzania kutuma wanamichezo 492, kushiriki mashindano ya FEASSA 2025 nchini Kenya

Jumla ya wanafunzi 492 ambao ni wanamichezo mbalimbali wanatarajia kushiriki mashindano ya michezo ya wanafunzi wa shule za Msingi na Sekondari kwa nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (FEASSA) yanayotarajiwa kuanza Agosti 12, 2025 Kakamega nchini Kenya. Kwa mujibu…

Mgombea NRA achukua fomu Tume

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Mahakama ya Rufaa Jacobs Mwambegele akimkakabidhi mkoba wenye fomu za kuomba kuteuliwa kuwa Mgombea wa Kiti cha Rais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia…

Mgombea AAFP achukua fomu kuwania kiti cha urais

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Mahakama ya Rufaa Jacobs Mwambegele akimkakabidhi mkoba wenye fomu za kuomba kuteuliwa kuwa Mgombea wa Kiti cha Rais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia…

Wagombea urais ACT – Wazalendo watambulishwa Zanzibar, mamia wajitokeza kuwapokea

Mwenyekiti wa Taifa wa ACT-Wazalendo, Mheshimiwa Othman Masoud Othman, akiwa pamoja na viongozi wenzake wa Kitaifa wa chama hicho wakitokea Jijini Dar es Salaam, na kupokelewa na maelfu ya wanachama Unguja. Mapokezi hayo ambayo yamewajumuisha Wagombea wa Nafasi ya Urais…