Latest Posts
REA kusambaza mitungi ya gesi zaidi ya 22,000 Pwani
📌Kila wilaya kunufaika mitungi ya gesi 3,255 Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umeitambulisha kampuni ya Manjis Gas ambayo imepewa jukumu la kusambaza mitungi ya gesi 22,785 itakayouzwa kwa bei ya ruzuku ya asilimia 50 katika Mkoa wa Pwani. Hayo yamebainishwa…
WTO latabiri kuporomoka kwa biashara duniani
SHIRIKA la biashara duniani,WTO limesema biashara ya bidhaa ulimwenguni, inatarajiwa kushuka kati ya asilimia 0.2 na 1.5 mwaka huu Shirika hilo limesema utabiri huo utategemea namna ushuru uliowekwa na rais Donald Trump utakavyosababisha athari. WTO imetahadharisha kwamba hali ya wasiwasi…
‘Harvard inaweza kupoteza uwezo wa kusajili wanafunzi wa kigeni’
Wizara ya Usalama wa Ndani ya Marekani ilisema Chuo Kikuu cha Harvard kitapoteza uwezo wa kusajili wanafunzi wa kigeni ikiwa haitakubali kutimiza matakwa ya serikali ya Trump kushirikisha taarifa za baadhi ya wamiliki wa visa, kuashiria kuongezeka kwa mtafaruku kati…
CAG : Mashirika kadhaa ya umma yamesaini mikataba bila kufuata ushauri wa kisheria
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) amebaini kuwa mashirika kadhaa ya umma yamesaini mikataba yenye thamani kubwa bila kufuata ushauri wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali wala maafisa wa sheria wa ndani. Mikataba hiyo, yenye jumla ya thamani…
Wasira akutana na Protase Kardinali Rugambwa
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amekutana na kufanya mazungumzo na Muadhama Kadinali Protase Rugambwa katika Jimbo Kuu Katoliki la Tabora. Wasira amekutana na Protase Kardinali Rugambwa. leo Aprili 16, 2025 katika Jimbo Kuu Katoliki…
Haya ndio mashirika 10 yaliyopata hasara
Ripoti Kuu ya Mwaka ya Ukaguzi ya Mashirika ya Umma kwa mwaka wa fedha 2023/2024 CAG imebainisha kuwa mashirika 19 ya umma ya kibiashara yameendelea kupata hasara, huku mashirika 12 yakipata hasara kwa miaka mitatu mfululizo. Kwa mujibu wa ripoti…