JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tusherehekee Krismas na mwaka mpya tukijivunia mabadiliko makubwa sekta ya nishati

Katika kusherehekea SIkukuu za Krismasi na Mwaka Mpya 2025, Watanzania hatuna budi kujivunia safari ya mafanikio katika Sekta ya Nishati, hususan umeme. Je Unajua kabla ya kupata Uhuru mwaka 1961 Nchi ilizalisha umeme kwa kutumia mafuta ambapo kila mkoa ulijitegemea…

CCM Tabora wamfariji mjane wa kada aliyejiua

Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora VIONGOZI na Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoani Tabora wametembelea familia ya mjane wa Kada wa CCM Jastin Magembe aliyejiua kwa sumu baada ya mgombea wao kushindwa kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Katibu…

Chombo cha anga za juu cha NASA chajaribu kuweka historia kwa kuwa karibu zaidi na jua

Chombo hicho cha Parker Solar Probe kilisafiri katika angahewa ya nje ya nyota yetu, kikistahimili joto na mionzi mikali. Hakitakuwa na mawasiliano yoyote kwa siku kadhaa wakati huu wa joto kali na wanasayansi watakuwa wakisubiri ishara, inayotarajiwa tarehe 27 Desemba,…