Latest Posts
Nishati safi inamuondolea adha mtoto wa kike – Kijaji
📌 Kuokoa muda kwa ajili ya shughuli za maendeleo 📌 Atoa wito kwa wananchi kutumia Nishati Safi ya Kupikia Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji amesema uwepo wa Nishati Safi ya…
Maendeleo ni makubwa nchini, Watanzania tumuunge mkono Rais Samia- Mathias Canal
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Singida Rasi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan anapaswa kutiwa moyo na kuungwa mkono kwa maendeleo makubwa anayoyafanya kwa ajili ya watanzania sio kubezwa au kumkejeli. Wakati Tanzania inapata uhuru mwaka 1961…
Mhagaa : Serikali yatenga bil. 1/- upimaji afya nyumba kwa nyumba
Na Mwandisi Wetu,JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Afya Jenista Mhagama amesema miongoni mwa majukumu ya wahudumu wa afya ngazi ya jamii ni kupima magonjwa yasiyoambukiza na yanayoambukizwa. Amesema wahudumu hao watapita nyumba kwa nyumba katika vijiji mbalimbali vya mikoa…
Zaidi ya watu 70,000 waliojitolea kuipigania Urusi wafa Ukraine
Zaidi ya watu 70,000 wanaopigana katika jeshi la Urusi sasa wamefariki nchini Ukraine, kulingana na data iliyochambuliwa na BBC. Na kwa mara ya kwanza, watu wa kujitolea raia ambao walijiunga na vikosi vya jeshi baada ya kuanza kwa vita, sasa…
UN yaridhia Israel kuondoka Palestina
Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepitisha azimio la kuunga mkono la kisheria la Palestina linaloitaka Israel kuondoka Gaza na maeneo yanayokaliwa kwa mabavu katika ukanda wa magharibi nchini humo. Mataifa 43 kati 193 zikiwemo Ujerumani, yamejizuwia kupiga kura kuhusu…
Msongozi awashauri wanawake kugombea nafasi za wenyeviti Serikali ya Mtaa
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea Mbunge Viti Maalum Mkoa wa Ruvuma Jacklin Ngonyani Msongozi amewataka wanawake mkoani humo kujitokeza kugombea nafasi za mwenyekiti wa Serikali za Mitaa ili kukuza usawa wa kijinsia na kuimarisha demokrasia ndani ya nchi. Msongozi ameyasema…