Latest Posts
Mashindano ya kuogelea Afrika kufanyika Z’bar
Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar Salaam Chama cha Mchezo wa Kuogelea Africa (Africa aquatics) kwa kushirikiana na mchezo wa kuogelea nchini vitaendesha mashindano ya wazi kwa mchezo wa kuogelea yanayotarajiwa kufanyioa visiwani Zanzibar. Mashindano hayo yanafanyika kwa mara ya kwanza…
Waziri Bashe awataka wakulima, wafugaji kuishi kwa amani
📌NIRC,Songea Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amewaasa wafugaji wa jamii ya Wasukuma wanaoishi katika kata ya Ndalila Wilayani Songea, kuhakikisha kuwa wanaishi kwa amani na wakulima wa jamii zingine wilayani humo “Nimewaletea salamu kutoka kwa rais Dkt. Samia Suluhu Hassan…
Matumizi ya TEHAMA mahakamani yamesaidia kupunguza mrundikano wa mashauri – Prof. Gabriel
Na Mary Gwera, Mahakama-Dodoma Matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) ndani ya Mahakama ya Tanzania yametajwa kuleta manufaa lukuki ndani ya Mhimili huo ikiwa ni pamoja na kupunguza mlundikano wa mashauri. Hayo yamebainishwa leo tarehe 18 Septemba, 2024…
Makonda abaini upotevu wa bil 1.3/- sekondari ya wasichana Longido
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amebaini upotevu wa fedha zaidi ya Sh bilioni 1. 3 katika shule ya Sekondari ya Wasichana Longido iliyopo wilayani Longido. Fedha hizo zimepotea kutokana na ulipaji wa malipo…
Mchezo wa raga waongeza mahusiano kati ya Tanzania na Ufaransa
Na Lookman Miraji,JamhuriMedia, Dar es Salaam Kampuni ya utengenezaji wa vifaa vya michezo kutoka nchini Ufaransa ya Sergio Mat imekabidhi rasmi vifaa vya michezo kwa timu ya taifa ya mchezo wa raga nchini. Hafla ya tukio hilo limefanyika Septemba18 katika…
Serikali yaweka bilioni 81 ujenzi bandari ya Mbambabay
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ruvuma WAKATI Rais Samia akitarajiwa kuwasili mkoani Ruvuma kwa ziara ya kikazi imeelezwa kuwa serikali imewekeza kiasi cha shilingi bilioni 81 kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa bandari ya kisasa ya Mbambabay Wilayani…