JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Pingamizi dhidi ya uteuzi wa mgombea ubunge ACT-Wazalendo latupwa

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kupitia Ofisi ya Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Meatu imetupilia mbali pingamizi dhidi ya mgombea ubunge wa ACT-Wazalendo, Bi. Rosemary Kasimbi Kirigini. Pingamizi hilo liliwasilishwa na mgombea ubunge wa jimbo hilo kwa tiketi CCM,…

NIRC yakamilisha uchimbaji visima mashamba ya BBT Ndogoye na Chinangali

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) imekamilisha zoezi la uchimbaji wa visima katika shamba la Ndogowe na Chinangali lililoko chini ya Mradi wa Jenga Kesho Iliyobora (BBT), kwa ajili ya kuendeleza kilimo cha Umwagiliaji. Akizungumza Kaimu…

Waziri Mkuu : Rais Samia ameiheshimisha Tanzania matumizi ya nishati safi ya kupikia

📌Aipongeza REA Kwa Kusimamia vyema utekelezaji wa Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati Safi na Usambazaji umeme Vijijini 📌Awasisitiza Watanzania kushiriki Kampeni ya Nishati Safi ya Kupikia Ataja faida za kutumia Nishati Safi ya Kupikia Asema Serikali itaendelea kuwezesha…

Vitongoji 1,997 sawa na asilimia 88.4 vyapatiwa huduma ya umeme Kilimanjaro

📌Vijiji vyote 519 vimepata huduma ya umeme Kilimanjaro 📌Bilioni 32.7 yawezesha utekelezaji miradi ya REA Kilimanjaro 📍Kilimanjaro Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB), Mhe. Balozi Meja Jenerali Mstaafu Jacob Kingu, ameeleza kuwa jumla ya vitongoji 1,997 sawa na asilimia…

Makamu wa Rais wa Zimbabwe, Kanali Mstaafu Kembo Mohadi awasili nchini

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Zimbabwe, Mheshimiwa Kanali Mstaafu Kembo Campbell Mohadi amewasili nchini Agosti 30. 2025 kwa ziara ya kazi ya siku mbili hadi Agosti 31 2025 kwa mwaliko wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…

Ziana Mlawa :SHIMIWI ni mahala pa kazi

📌 Asema Wizara ya Nishati ipambane irudi na ushindi 📌 Asema Wizara ya Nishati iwe mfano kwa Wizara zingine Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu Wizara ya Nishati, Bi. Ziana Mlawa leo amesema kushiriki michezo mbali mbali inasaidia katika kujenga…