JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Shambulizi la Urusi nchini Ukraine lakatiza huduma za umeme

Shambulizi la usiku kucha la Urusi katika eneo la kati mwa Ukraine, Poltava limeharibu miundo mbinu ya nishati na kukata umeme kwenye makazi 20. Haya yamesemwa leo na mamlaka katika eneo hilo. Shambulizi la usiku kucha la Urusi katika eneo…

Meli ya kivita ya Misri yapeleka silaha Somalia

Waziri wa mambo ya nje wa Ethiopia amesema ana wasiwasi kwamba silaha zilizopelekwa nchini Somalia huenda zikaishia mikononi mwa magaidi. Haya yameripotiwa leo na shirika la habari la serikali ya Ethiopia siku moja baada ya meli ya kivita ya Misri…

Rais Samia afungua shule ya msingi mchepuo wa kiingereza ya Chief Zulu Songea

   Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Mwanafunzi wa Shule ya Awali na Msingi ya Mchepuo wa Kiingereza ya Chief Zulu, Teofilo Mbunda kuhusu matumizi ya Computer shuleni hapo, Songea mkoani Ruvuma tarehe…

Rais Samia aweka jiwe la msingi ujenzi wa maghala 28 ya kuhifadhi chakula Luhimba, Ruvuma

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ameongoza hafla ya uwekaji jiwe la msingi kwa ujenzi wa maghala 28 mapya ya kuhifadhi nafaka katika eneo la Luhimba, Ruvuma. Hafla hii imefanyika  Septemba 24, 2024, imekuja kama…

Polisi wachunguza kifo cha Sonii aliyefariki wakati akitoroshwa mikononi mwa Polisi Arusha

Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limesema linachunguza tukio la kifo cha mtu mmoja aitwaye Johnson Josephat maarufu kwa jina Sonii (39), Mkazi wa Unga Limited Jijini Arusha aliyefariki dunia tarehe Septemba 23, 2024 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya…

Serikali yaipongeza Green Acres kwa kuendelea kufanya vizuri kitaaluma

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI imeipongeza shule ya msingi na sekondari, Green Acres ya jijini Dar es Salaam kwa namna ambavyo imekuwa ikifanya vizuri katika matokeo ya mitihani ya kitaifa kuanzia ngazi ya Wilaya hadi taifa. Pongezi…